Daaah, hawa jamaa wanatupenda sana watanzania. Kaona asiondoke jijini bila kuzungumza na wana Mwanza waliotukanwa kuwa watashikishwa ukuta na Nape. Kama magamba wangekuwa karibu hivi na watanzania mbona huu umaskini tungeridhika nao tu. Mh Lissu gombea urais wa Tanzania 2025 Dr Slaa akimaliza vipindi vyake viwili kwa mujibu wa katiba...
Kazi ya ubunge sio kama karani wewe, au sio kushinda vijiweni kama Mtemvu na Iddi Azani... Hivi wewe mbunge wako asipokuwepo jimboni unalala na njaa?
Kama lisu ni mwamba ajaribu kujibu mapigo ya Nape.aone
Lissu anakaa jimboni muda wote yuko huko.
tatizo bwana lissu anapenda sifa za kijinga sana
Kama umegundua hivyo mbona hujaenda kutibiwa?Mtindio wa ubongo ni ugonjwa mbaya unahitaji matibabu ya haraka sana la sivyo mtu upoteza uhai wake wa akili
tatizo bwana lissu anapenda sifa za kijinga sana
hivi huyu jamaa muda gani anawatembelea wapiga kura wake. Sifa zitamuumbua 2015.
Hivi huyu jamaa muda gani anawatembelea wapiga kura wake. Sifa zitamuumbua 2015.
Hivi huyu jamaa muda gani anawatembelea wapiga kura wake. Sifa zitamuumbua 2015.
Kazi ya ubunge sio kama karani wewe, au sio kushinda vijiweni kama Mtemvu na Iddi Azani... Hivi wewe mbunge wako asipokuwepo jimboni unalala na njaa?
tatizo bwana lissu anapenda sifa za kijinga sana
nape alikua lini kwa mara ya mwisho masasi?!!!!!hivi huyu jamaa muda gani anawatembelea wapiga kura wake. Sifa zitamuumbua 2015.