I didn't know ..when did Lissu become the MP of Arusha or do you mean the court is shifting and the ruling will be read from Arusha??
We English Learner, una matatizo gani? soma vizuri hiyo thread, inaonekana akili yako imeamkia kushoto!
I didn't know ..when did Lissu become the MP of Arusha or do you mean the court is shifting and the ruling will be read from Arusha??
Humjui Lissu wewe! Hukumbuki mwanasheria mkuu wa serikali alivyokiri bungeni kurekebisha vifungu vya miswada ya sheria akimtumia Lissu?hana msaada wowote kwa taifa hili, anadharau muungano ni matusi kwa waasisi wa ta4fa
anataka sifa ya kuambiwa yy ndio muanzisha thread
anataka sifa ya kuambiwa yy ndio muanzisha thread
Kawaambie waliokutuma kuwa hujawakutaTundu lizu lazima apigwe chini alichakachua ,,,
TIMING,
Kuvuliwa ubunge kwa mtu hakuwezi kusababisha madhara yoyote kwa nchi kama Tanzania. Ni watu wachache sana hapa nchini wapo interested na the so called wabunge. Ukifanya utafiti wa haraka haraka utaona kuwa, wananchi wengi wakiambiwa kuwa kitu kinachoitwa bunge kisiwepo, majority watakubali as bunge halina impact yoyote kwenye maisha yao.
Vitu vinavyoweza kuprovoke kuvunjika kwa amani ya nchi ni vitu vile vinavyogusa maisha ya watu directly. Kwa mantiki hiyo, TZ haiwezi kuwa kama Siera leon kamwe eti kisa Lema na Lisu wamevuliwa ubunge.
Nashangaa unavyosema kuwa sekondari sikuwa hivyo, sidhani kama kuna anayenifahamu zaidi ya hapa kwenye keyboard. Asante
Waache wapoteze muda wao mwingi kuhangaika na wabunge wa CDM mahakamani kutahamaki 2015 hiyo na hawajafanya kitu. Wananchi tutatoa hukumu ya kumuua nyani.
I'm wondering why is this only happening to CDM MPs. There must be something wrong with them as well as their part CDM.
Naona unauliza kwa kiingereza! Hujaelewa kwasababu ameandika kwa kiswahili au kwasababu hutaki kuelewa.I didn't know ..when did Lissu become the MP of Arusha or do you mean the court is shifting and the ruling will be read from Arusha??
Sorry, kwani huyu Lissu ni nani hapa TZ?!
Mbona mwandishi haajaandika kuwa polisi wamehamia Arusha kama ulivyoonesha hapo kwenye red?! Yaelekea macho yako hayaoni au umependa kumdhalilisha mwandishiI didn't know ..when did Lissu become the MP of Arusha or do you mean the court is shifting and the ruling will be read from Arusha??