mgeni wenu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 3,664
- 1,730
- Thread starter
- #21
we unae heshimu muungano,kusifia waasisi umelisaidia nini taifa(kizazi cha mwigulu)hana msaada wowote kwa taifa hili, anadharau muungano ni matusi kwa waasisi wa ta4fa
we unae heshimu muungano,kusifia waasisi umelisaidia nini taifa(kizazi cha mwigulu)hana msaada wowote kwa taifa hili, anadharau muungano ni matusi kwa waasisi wa ta4fa
kwani wana singida walimumtuma kudai muungano uvunjwe?we unae heshimu muungano,kusifia waasisi umelisaidia nini taifa(kizazi cha mwigulu)
Acha tabia ya kubandika maneno yako kwa wengine. Una-edit na kujikosoa mwenyewe!I didn't know ..when did Lissu become the MP of Arusha or do you mean the court is shifting and the ruling will be read from Arusha??
Hatupo sawa mkuu, kila mtu kuna anachokiamini. From nowher huwezi nilazimisha niipende CDM kisa et na wewe unaipenda.Wewe Rejao, ungekuwa unafahamika vema kwa watu walio wengi, tungekufanya MISHIKAKI, Kama ilivyokuwa katika vita vya ukombozi msumbiji. Waulize Wareno walivyoku wanatafunwa na akina Marehemu Samora na wapiganaji wenzake! Ipo siku yatakufika na mzaha wako huo.
Kuna wanaoamini visivyoaminiwa...Hatupo sawa mkuu, kila mtu kuna anachokiamini. From nowher huwezi nilazimisha niipende CDM kisa et na wewe unaipenda.
Hatupo sawa mkuu, kila mtu kuna anachokiamini. From nowher huwezi nilazimisha niipende CDM kisa et na wewe unaipenda.
Kumbe CDM wote walishinda ubunge kwa magumashi. Poleni sana
Mkuu, are you mad or you just want to provoke people...
TIMING,
Kuvuliwa ubunge kwa mtu hakuwezi kusababisha madhara yoyote kwa nchi kama Tanzania. Ni watu wachache sana hapa nchini wapo interested na the so called wabunge. Ukifanya utafiti wa haraka haraka utaona kuwa, wananchi wengi wakiambiwa kuwa kitu kinachoitwa bunge kisiwepo, majority watakubali as bunge halina impact yoyote kwenye maisha yao.
Vitu vinavyoweza kuprovoke kuvunjika kwa amani ya nchi ni vitu vile vinavyogusa maisha ya watu directly. Kwa mantiki hiyo, TZ haiwezi kuwa kama Siera leon kamwe eti kisa Lema na Lisu wamevuliwa ubunge.
Nashangaa unavyosema kuwa sekondari sikuwa hivyo, sidhani kama kuna anayenifahamu zaidi ya hapa kwenye keyboard. Asante
ni kweli wewe hufahamiki kabisa, mimi niliyesoma ilboru na tabora ndio nafahamikaTIMING,
Kuvuliwa ubunge kwa mtu hakuwezi kusababisha madhara yoyote kwa nchi kama Tanzania. Ni watu wachache sana hapa nchini wapo interested na the so called wabunge. Ukifanya utafiti wa haraka haraka utaona kuwa, wananchi wengi wakiambiwa kuwa kitu kinachoitwa bunge kisiwepo, majority watakubali as bunge halina impact yoyote kwenye maisha yao.
Vitu vinavyoweza kuprovoke kuvunjika kwa amani ya nchi ni vitu vile vinavyogusa maisha ya watu directly. Kwa mantiki hiyo, TZ haiwezi kuwa kama Siera leon kamwe eti kisa Lema na Lisu wamevuliwa ubunge.
Nashangaa unavyosema kuwa sekondari sikuwa hivyo, sidhani kama kuna anayenifahamu zaidi ya hapa kwenye keyboard. Asante
Kumbe CDM wote walishinda ubunge kwa magumashi. Poleni sana
Hahahah..umenifurahisha sana. Am happy kufahamu kuwa upo nje ya TZ.Njia yako ya kutufikishia ujumbe kuwa upo abroad nimeikubali. Ujumbe umefika....