Wakoloni mamboleo hatuwataki na wala hatutawapa nafasi kutuchagulia viongozi. Sisi tuna akili zetu tunapima mambo na kila kauli ya mtu, ki msingi viongozi wetu tutawachagua wenyewe si kwa mashinikizo
Na wale wakoloni wenye ngozi kama yetu wanaoendelea kututawala vp? Ama kweli tusilaumu mtu tukiwa na hali mbovu za maisha.