Lipumba Vs Mbowe

Hilo swali aliulizwa lini, wapi na nani alimuuliza? Isije kuwa ulikuwa ushapiga ulanzi baada ya kuvimbiwa magimbi halafu ukawa wewe pekee yako unaiona hiyo interview.

Kweli magwanda mmefilisika. Yaani yule DJ aliyetolewa show na Hamad Rashid kwenye mdahalo ndiyo ukamfananishe na Prof. Lipumba? Sasa huo kama siyo uwendawazimu basi ni uhayawani tena!





Busara ya mtu haipimwi kwa wingi wa matusi bali lugha yenye staha. Alikuwa kwenye kipindi kilichokuwa kikirushwa na ITV kwa jina KITIMOTO na aliyekuwa akikiendesha wakati huo alikuwa ni Pasco Mayala na Betty Mkawasa ambaye leo hii ni mkuu wa Wilaya nafikiri ya Bahi. Wanaweza kutusaidia kama mimi nimetunga na kwanini nisitunge mengine nitunge tu hili? Na lingine kama utabisha basi mimi siwezi kutatua tatizo lako. Lipumba alikuwa miongoni mwa viongozi wa vyama vya siasa waliomsifu JK kuwapa kazi kampuni ya auditing ya Ernst and Young kufanya uchunguzi wa wizi wa EPA. Alisifu uamuzi huo na kusahau kuwa hiyi ilikuwa ni kupoteza pesa za walipa kodi kwani haukuwa muharobaini wa wizi na ufujaji wa mali ya umma wala wahusika wasingeguswa maana mtu hawezi kukata mkono wake unaomlisha na kumfikisha hapo alipo. professa anyeshindwa kuona mambo katika uhalisia wake akwa ame succumb kwenye shallow argument kama wale ambao hawajaona kuta za madarasa usomi wake unatia shaka na ndio maana anazidiwa na yule ambaye wewe unadai ni wendawazimu kuwalingalisha . What a distigusting dirty, vulgar language that must not be employed by civilized but ratheer barbaric people. Sijui wewe tukuweke wapi kati ya haya makundi?
 
Wakuu
Mara baada ya uchaguzi wa mwaka 2010 tumekua tukishuhudia na kusikiliza hotuba za wenyeviti wa vya va CHADEMA na CUF. Pamoja na kuwa na elimu ndogo ukimlinganisha na Prof. Lipumba, Kamanda Mbowe anaoneka yuko makini, mwenye busara, aliyetulia na amekomaa kisiasa. Sambamba na hilo, hotuba za Mbowe zimedhilisha wazi kuwa zina lengo la kuwaelimisha watanzania ili wjikomboe kutoka kwa mkoloni mweisi, yaani CCM.

Hata hivyo kwa upande wa Prof Lipumba, tumeshuhudia hotuba zisizokuwa na mvuto na zenye lengo la kurudisha nyuma gurudumu la ukombozi. Pamoja na ukweli kwamba Prof Lipumba amekuwa kiongozi wa juu wa chama cha siasa ukimliganisha na Kamanda Mbowe, msomi huyu amekosa busara, umakini na kwamba hajakomaa kisiasa

inawezekana kabisa msomi huyu anajiamini kupita kiasi na hivyo anashindwa kuwatumia vizuri washauri wake. Na kama hali ndiyo hiyo, nacherea kusema kwa dhati kwamba kama Lipumba ageshida uraisi, uongozi wake usingetofatiana sana na kiwete.

Kuwa profesa haimaanishi uwezo wa mtu kuongoza nchi. Tukumbuke kuwa profesa hafundishi darasani ya kutoka kichwani mwake, bali ni mfumo na mwongozo ambao anaufuata ulioandaliwa tayari kuwaongozwa wanachuo kufikia malengo yao na wala si kuwafundisha wanachuo kama mwalimu wa kawaida. Pengine mwalimu wa kawaida wa shule ya msingi na sekondari wana kazi ya ziada kumwelimisha mwanafunzi kwa vile kwanza kabisa kumjengea uwezo manafunzi, lakini profesa anachofanya si kufundisha ila kumwongoza mwanachuo aliyekwisha jengewa uwezo katika shule za awali katika elimu anayochukua.

Tuzijue tofauti hizi mbili
Teacher (Mwalimu) ana kazi ya ziada kumfundisha mtoto au mwanafunzi kitu ambacho hakijui mpaka akifahamu
Instructor ningeweza kutafsiri kama ni mtoa maelekezo ya namna ya kufanya na kupima uelewa na utendaji wa kinachofanywa na mwanachuo.

Tuje kwenye siasa Mwalimu huyu wa kawaida katika kufundisha anaweza kuwa na mbinu zaidi za kuweza kuwavutia wananchi kwa kutokana na uwezo na uzoefu aliojijengea katika uzoefu wa kazi yake.
Profesa ana ziada kwani anahitaji kufanya ziada kwa vile uzoefu wake ni kuwaongoza na kuwaachia watu kazi waifanye na kisha aje kuhakiki kufanikiwa au kushinwa kwake. Uwezo wa maprofesa wengi ni kwa watu wa kiwango cha juu kuwaelekeza tofauti na mwalimu mwenye uwezo mkubwa wa kuelimisha wananchi hata kile ambacho hawakijui.

Mwalimu Nyerere aliweza na alifanikiwa katika hilo kwani uzoefu wake katika kufundisha St. Mary's Tabora ambayo kwa sasa inajulikana kama Sekondari ya Milambo yenye mchepuo wa lugha na kisha baadaye kuwa mwalimu sekondari ya Pugu vilimpa uzoefu wa namna ya kuwachukua watu wa level ya kawaida na wakamwelewa.

Siasa si za mwendo huo wa kutegemea kiwango cha elimu ya juu, ndio maana tunashuhudia maprofesa wachache wenye kuwaza kuivutia audiance kwa vile ni karama aliyo nayo mtu bila kuweka kigezo cha elimu kama ndiyo yenye kujengea uwezo wa kuongoza.

Ulingo wa siasa unahitajika mtu kuwa mbunifu badala ya ule wa profesa kutumia zaidi ya vitabuni, hayo ndiyo yanayowaangusha wasomi wengi waingiapo kwenye uwanja wa siasa na kushtukia kuangushwa kwa hoja na wale wasiokuwa maprofesa.

Wasomi wengi watanikuwa kinyume changu kuwa kwa kauli hii kuwa, maprofesa na wasomi wengi ni watumwa wa vitabu badala ya kuibua ya vichwani mwao. Msomi atahangaika kutafuta vitabu kupata nukuru ya hoja ya kujibu wakati mwenye kutumia bongo yake hubuni na kuibua hoja nzito zenye kuakisi umma kutokana na mazingira ya maisha ya kila siku. Watu wanataka kusikia mambo yanayowahusi katika masha yao si yale ambayo wasomi wengi hutafuta vitabuni ambayo wananchi walio wengi hawayajui ya kushinda kujadiliana kwa kushindana hoja za kisomi wakati wao wanataka kusikia namna gani watapa sukari, chumvi, kibanda cha kuishi, mishahara nk.

Uongozi ni karama
Kuwa msomi haimaanishi kuwa na uwezo wa kuongoza, ndo maana tunashuhudia viongozi walio wengi si maprofesa, bali wenye elimu ya kawaida kama bachela tu na wengine ambao wameishia kiwango cha chini ya elimu ya degree ya kwanza na kozi kadhaa za kuungaunga.

Kuongoza nchi ni karama na haitegemea elimu ya juu katika kufanikiwa ila karama aliyo nayo mtu ndiyo inayompa uwezo wa kuongoza vema nchi. Mwenye karama ya kuongoza nchi elimu aliyo nayo inamsaidia vizuri kuongoza nchi, lakini kwa asiye na karama ya uongozi tusitegemee kwamba elimu yake ndiyo itakayoongoza nchi.



 
MOJA: nawapa pole washabiki wa siasa.....
PILI: hamna siasa ndani ya TZ.... zaidi ya kula makapi tena yaliyoozaa....
ni nani hasiotaka maisha mazuri.....but dot care.... mwenye nguvu mpishe... itafikia mwenye sauti umwache...

yote hayo.....2015 ...cheche za ajabu zitaatokea pasipo madhara..... TZ hatupendi vita......
ni maisha bora yasiyo kujari anayelala na njaa...
bora uwe katikati..pasipo kujua pa kwenda.....
 
Wakuu
Mara baada ya uchaguzi wa mwaka 2010 tumekua tukishuhudia na kusikiliza hotuba za wenyeviti wa vya va CHADEMA na CUF. Pamoja na kuwa na elimu ndogo ukimlinganisha na Prof. Lipumba, Kamanda Mbowe anaoneka yuko makini, mwenye busara, aliyetulia na amekomaa kisiasa. Sambamba na hilo, hotuba za Mbowe zimedhilisha wazi kuwa zina lengo la kuwaelimisha watanzania ili wjikomboe kutoka kwa mkoloni mweisi, yaani CCM.

Hata hivyo kwa upande wa Prof Lipumba, tumeshuhudia hotuba zisizokuwa na mvuto na zenye lengo la kurudisha nyuma gurudumu la ukombozi. Pamoja na ukweli kwamba Prof Lipumba amekuwa kiongozi wa juu wa chama cha siasa ukimliganisha na Kamanda Mbowe, msomi huyu amekosa busara, umakini na kwamba hajakomaa kisiasa

inawezekana kabisa msomi huyu anajiamini kupita kiasi na hivyo anashindwa kuwatumia vizuri washauri wake. Na kama hali ndiyo hiyo, nacherea kusema kwa dhati kwamba kama Lipumba ageshida uraisi, uongozi wake usingetofatiana sana na kiwete.

lipumba bwabwa tu.
 
Mchumi vs mpiga disco na mwendesha manguro mizani yao tofaut bora hata zito na lipumba kiduchu kungekua na match
Lakini mwelekeo ndo huo bongo flavor ndani bunge


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom