Mbowe vs Lipumba. Wanasiasa Hawa Nani Bora?

Countrywide

JF-Expert Member
Mar 2, 2015
18,200
27,252
Nimeona hivi karibuni watu wakimlinganisha mbowe na lipumba, mengi yamezungumzwa lakini Mimi nitasaidia kuwajulisha na kuwaacha muamue nani bora.

Elimu zao tuweke pembeni tujikite zaidi kwenye siasa, maana kielimu kuwalingaisha hawa ni zaidi ya kufuru tu.

Mbowe sometimes hupigania wananchi wengi, lipumba huwa kigeugeu. Kwenye hili mbowe anapata credit kuliko lipumba

Mbowe ni mjisiriasiasa, lipumba sio mjasiriasiasa. Pesa kwanza alafu ndio siasa, lipumba yeye siasa kwanza alafu ndio pesa. Wote kwenye hili wapo sawa

Mbowe kwenye siasa hutangulia yeye kwanza alafu huburuza chama chote. Lipumba huwa na kundi dogo alafu ndio huburuza chama chote. Hii approach ndio ilipelekea kuitwa sultan.

Mbowe huwa na misimamo mikali ikiwa jambo hilo halihusu pesa, lipumba huwa na misimamo mikali ikiwa jambo hilo halihusu chama. Niliona sehemu wengi wakisema lipumba ni mwanasiasa mkongwe alafu maskini.

Mbowe ukipingana nae chamani utafukuzwa na kuitwa msaliti, Lipumba ni mvumilivu hata ukipingana nae anavumilia labda wewe mwenyewe uamaue kuondoka chamani.

Mbowe hana haiba/sura ya kushika dola, lipumba Amewahi kuwa na haiba/sura ya kushika dola. Ndio maana inakua rahisi mgeni kuingia chadema na kupata nafasi ya kugombea uraisi mfano Lowassa.

Mbowe amekijenga chama chake kwa misingi ya ukanda, lipumba kwa misingi mingine(sitataja ila mnajua). Hapa wote wapo sawa.

Kwa points hizi nilizoeleza kuna vitu vingi Lipumba amemzidi mbowe kisiasa, mbowe amemzidi lipumba sehemu moja tu ambayo ni kiuchumi.

Screenshot_20230309-135509_1.jpg
Screenshot_20230309-135804_1.jpg
 
Mbowe kamzidi sana Lipumba kisiasa na kifedha. Alichozidiwa na Lipumba ni elimu, udini na unafiki. Lipumba huwa anafanya mambo yake kipuuzi mno. Mbowe hutumia akili sana kwenye moves zake tofauti na Lipumba.

Kwa mfano sasa hivi tunamlaumu Mbowe kulamba asali ila ushahidi kamili wa kumtia hatiani ni mdogo. Lipumba yeye alikitelekeza chama halafu baadae karudi kibabe na kujirudishia madaraka. Kuna wakati aliropoka kwamba 2010 alimsapoti mgombea wa CCM kwasababu ni dini moja wakati chama chake pia kilikuwa na mgombea ambaye alikuwa yeye.

Lipumba pia kajijenga sana yeye binafsi kuliko kuwajenga na wengine. Pamoja na kwamba yeye ndo CHADEMA na CHADEMA ndo yeye ila Mbowe kasaidia watu wengi kuwa wakubwa sana kisiasa, Zitto Kabwe,
 
Nimeona hivi karibuni watu wakimlinganisha mbowe na lipumba, mengi yamezungumzwa lakini Mimi nitasaidia kuwajulisha na kuwaacha muamue nani bora.

Elimu zao tuweke pembeni tujikite zaidi kwenye siasa, maana kielimu kuwalingaisha hawa ni zaidi ya kufuru tu.

Mbowe sometimes hupigania wananchi wengi, lipumba huwa kigeugeu. Kwenye hili mbowe anapata credit kuliko lipumba

Mbowe ni mjisiriasiasa, lipumba sio mjasiriasiasa. Pesa kwanza alafu ndio siasa, lipumba yeye siasa kwanza alafu ndio pesa. Wote kwenye hili wapo sawa

Mbowe kwenye siasa hutangulia yeye kwanza alafu huburuza chama chote. Lipumba huwa na kundi dogo alafu ndio huburuza chama chote. Hii approach ndio ilipelekea kuitwa sultan.

Mbowe huwa na misimamo mikali ikiwa jambo hilo halihusu pesa, lipumba huwa na misimamo mikali ikiwa jambo hilo halihusu chama. Niliona sehemu wengi wakisema lipumba ni mwanasiasa mkongwe alafu maskini.

Mbowe ukipingana nae chamani utafukuzwa na kuitwa msaliti, Lipumba ni mvumilivu hata ukipingana nae anavumilia labda wewe mwenyewe uamaue kuondoka chamani.

Mbowe hana haiba/sura ya kushika dola, lipumba Amewahi kuwa na haiba/sura ya kushika dola. Ndio maana inakua rahisi mgeni kuingia chadema na kupata nafasi ya kugombea uraisi mfano Lowassa.

Mbowe amekijenga chama chake kwa misingi ya ukanda, lipumba kwa misingi mingine(sitataja ila mnajua). Hapa wote wapo sawa.

Kwa points hizi nilizoeleza kuna vitu vingi Lipumba amemzidi mbowe kisiasa, mbowe amemzidi lipumba sehemu moja tu ambayo ni kiuchumi.

View attachment 2543055View attachment 2543056
Huu uzi wa kulinganisha mavi na chakula ni bora hata ungemlinganisha Mwendakuzimu Jiwe na Kingwendu at least wanaelekeana.
-Mwendawazimu/Mwendakuzimu yeye husema 'mimi sajaleta tetemeko' whilst Kingwendu husema 'helohelo' huku akitoa ulimi nje ila wanatofautiana kwa kuwa Kingwendu bado yuko hai na si muuaji wala hana wivu na private sector wakati Mwendakuzimu hutaka kila mtu anayefanikiwa kimaisha afe nchi nzima wabakie wanyonge wasiojielewa, at least hiyo comparison ya hao wawili ndiyo inaendana.
NB: Lipumba si mwanasiasa bali ni sellout aliyeiuza CUF lakini wajanja wakamchomoka na kumuacha solemba.
 
Huu uzi wa kulinganisha mavi na chakula ni bora hata ungemlinganisha Mwendakuzimu Jiwe na Kingwendu at least wanaelekeana.
-Mwendawazimu/Mwendakuzimu yeye husema 'mimi sajaleta tetemeko' whilst Kingwendu husema 'helohelo' huku akitoa ulimi nje ila wanatofautiana kwa kuwa Kingwendu bado yuko hai na si muuaji wala hana wivu na private sector wakati Mwendakuzimu hutaka kila mtu anayefanikiwa kimaisha afe nchi nzima wabakie wanyonge wasiojielewa, at least hiyo comparison ya hao wawili ndiyo inaendana.
NB: Lipumba si mwanasiasa bali ni sellout aliyeiuza CUF lakini wajanja wakamchomoka na kumuacha solemba.
Machadema mengi ni majuha
 
Nimeona hivi karibuni watu wakimlinganisha mbowe na lipumba, mengi yamezungumzwa lakini Mimi nitasaidia kuwajulisha na kuwaacha muamue nani bora.

Elimu zao tuweke pembeni tujikite zaidi kwenye siasa, maana kielimu kuwalingaisha hawa ni zaidi ya kufuru tu.

Mbowe sometimes hupigania wananchi wengi, lipumba huwa kigeugeu. Kwenye hili mbowe anapata credit kuliko lipumba

Mbowe ni mjisiriasiasa, lipumba sio mjasiriasiasa. Pesa kwanza alafu ndio siasa, lipumba yeye siasa kwanza alafu ndio pesa. Wote kwenye hili wapo sawa

Mbowe kwenye siasa hutangulia yeye kwanza alafu huburuza chama chote. Lipumba huwa na kundi dogo alafu ndio huburuza chama chote. Hii approach ndio ilipelekea kuitwa sultan.

Mbowe huwa na misimamo mikali ikiwa jambo hilo halihusu pesa, lipumba huwa na misimamo mikali ikiwa jambo hilo halihusu chama. Niliona sehemu wengi wakisema lipumba ni mwanasiasa mkongwe alafu maskini.

Mbowe ukipingana nae chamani utafukuzwa na kuitwa msaliti, Lipumba ni mvumilivu hata ukipingana nae anavumilia labda wewe mwenyewe uamaue kuondoka chamani.

Mbowe hana haiba/sura ya kushika dola, lipumba Amewahi kuwa na haiba/sura ya kushika dola. Ndio maana inakua rahisi mgeni kuingia chadema na kupata nafasi ya kugombea uraisi mfano Lowassa.

Mbowe amekijenga chama chake kwa misingi ya ukanda, lipumba kwa misingi mingine(sitataja ila mnajua). Hapa wote wapo sawa.

Kwa points hizi nilizoeleza kuna vitu vingi Lipumba amemzidi mbowe kisiasa, mbowe amemzidi lipumba sehemu moja tu ambayo ni kiuchumi.

View attachment 2543055View attachment 2543056
Kama unatafuta boro basi upewe wewe huo ubora. (Kama haujaelewa jua nimefanya makusudi, nina maana yangu).
 
Nimeona hivi karibuni watu wakimlinganisha mbowe na lipumba, mengi yamezungumzwa lakini Mimi nitasaidia kuwajulisha na kuwaacha muamue nani bora.

Elimu zao tuweke pembeni tujikite zaidi kwenye siasa, maana kielimu kuwalingaisha hawa ni zaidi ya kufuru tu.

Mbowe sometimes hupigania wananchi wengi, lipumba huwa kigeugeu. Kwenye hili mbowe anapata credit kuliko lipumba

Mbowe ni mjisiriasiasa, lipumba sio mjasiriasiasa. Pesa kwanza alafu ndio siasa, lipumba yeye siasa kwanza alafu ndio pesa. Wote kwenye hili wapo sawa

Mbowe kwenye siasa hutangulia yeye kwanza alafu huburuza chama chote. Lipumba huwa na kundi dogo alafu ndio huburuza chama chote. Hii approach ndio ilipelekea kuitwa sultan.

Mbowe huwa na misimamo mikali ikiwa jambo hilo halihusu pesa, lipumba huwa na misimamo mikali ikiwa jambo hilo halihusu chama. Niliona sehemu wengi wakisema lipumba ni mwanasiasa mkongwe alafu maskini.

Mbowe ukipingana nae chamani utafukuzwa na kuitwa msaliti, Lipumba ni mvumilivu hata ukipingana nae anavumilia labda wewe mwenyewe uamaue kuondoka chamani.

Mbowe hana haiba/sura ya kushika dola, lipumba Amewahi kuwa na haiba/sura ya kushika dola. Ndio maana inakua rahisi mgeni kuingia chadema na kupata nafasi ya kugombea uraisi mfano Lowassa.

Mbowe amekijenga chama chake kwa misingi ya ukanda, lipumba kwa misingi mingine(sitataja ila mnajua). Hapa wote wapo sawa.

Kwa points hizi nilizoeleza kuna vitu vingi Lipumba amemzidi mbowe kisiasa, mbowe amemzidi lipumba sehemu moja tu ambayo ni kiuchumi.

View attachment 2543055View attachment 2543056
Fundi wa siasa za Tanzania Freeman Mbowe ni zaidi.
 
Back
Top Bottom