Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
- Thread starter
- #21
Walifanya makosa ya kimahesabu Mkandara. Hapa ndipo palikuwa kama Pemba yao ya bara. Ukiona hali iko hivi nambie strong hold yao iko wapi bara? Maana hata huko kusini hajawahi kupata mafanikio ya kujivunia!Duh yaani CUF Bukoba mjini imefikia hivi wakati ndio ilikuwa ngome yao Bara!
Ama kweli hawakusoma alama za nyakati.....