Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Jamani jana lipumba alikuwa katika kampeni mjini Bukoba, na alihutubia mkutano katika uwanja wa mashujaa (maarufu kama uwanja wa mayunga au uhuru platform). Kwa kuwa sikuwepo sijapata vizuri nini kiliongelewa lakini nimepata picha toka source mbali mbali na nazileta hapa. Kama kulikuwa na waandishi wa habari wataleta habari zao.