Nilimuheshimu sana Prof. na kuamini kwamba uprofesa wake haukuwa wa kubumba. Lakini kama sasa hivi kaishiwa mpaka anaanza kuimba sifa za ccm na kuanza kuina cdm kama adui wa cuf, uh, naogopa kama huku ndo kuzeeka, basi bora tufe tukiwa vijana na akili zilizonyooka kuliko kuliko kufikia uzee na kuzeeka vibaya kama Lipumba.