Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,862
Hayo yamesemwa leo pale alipohojiwa na DW, amehoji inakuwaje ADC wapate usajili wa ghafla ilihali vyama vingine vinachukua muda mrefu sana? Atuhumu ofisi ya msajili kutumiwa kwa maslah flani, pia ameshangazwa na baadhi ya wanachama ambao bado wapo CUF kuwa walezi wa ADC!!