nampenda mtufahamishe huyu mchumi nguli Prof IBRAHIM .H. LIPUMBA atarejea lini nchini? ili aje aendeleze mapambano ya katiba mpya, huyu jamaa mimi binafsi huwa namkubali ni mtu jasiri, na vitendo, si muoga, na uwa anasimamia kauli zake tofauti na hawa wa vyama vingine. napenda wana jf mtujuze Lini atarudi?