Wanchekesha mie. Waliokula dili la airbus si wapo mtaani! Dili za usafi na uniform muhimbili? Kiwanja cha serikali kuuzwa kwa METL? Buzwagi? Mgodi wa Buhemba?
This is onother curse eating justice and killing ccm. Small fishes are punished heavenly while the bigger are left to enjoy life and consume squandered public resources luxirously. God of mercy rescue our country!
hii nchi wanaijua wenyewe ccm. mwalimu anafungwa miaka zaidi ya mia huku chenge , mafisadi yanatembea tena yapo bungeni yamejikalia na yanazidi kupewa vyeo
Unahangaika kwa kufukuza kuku wa kisasa! Kama mnaweza anzeni na:-
Chenge, Richmond walohusika wote mfano baasha kosa lake siwajui nawajua, kiwila, reli,bandari, epa, kagoda, melemeta,stimulate packages, panya kwenye halmashauri, mawaziri, iptl, rada pamoja na dege la rais, mapanki, korosho, powertiler, bot, safari za rais, vocha kilimo, tbs, atc, nyumba za serikali, pamba,utalii, madini, misitu, mauaji ya raia, wizi kura, mikataba yote mibovu nk.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.