Encryption
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 996
- 1,339
kijana mmoja wa kiume wa huko Kitangari mwenye umri wa miaka 33 amejikata uume pamoja na kidole (cha shahada) ili kumuondolea mambo mengi na kumtumikia Mungu.
HABARI KAMILI ITAZAME VIDEO.
Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Salim Mpika, Mwenyeji wa wilaya ya Ruangwa Mkoa wa Lindi, ambaye ni fundi mwashi, amekata uume wake na kidole ili amtumikie Mungu
Zaidi soma;
https://www.jamiiforums.com/threads...a-kwa-madai-kuwa-hauna-thamani-kwake.1227127/
https://www.jamiiforums.com/threads/ajikata-uume-akidai-yeye-ni-mungu.691316/
HABARI KAMILI ITAZAME VIDEO.
Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Salim Mpika, Mwenyeji wa wilaya ya Ruangwa Mkoa wa Lindi, ambaye ni fundi mwashi, amekata uume wake na kidole ili amtumikie Mungu
Zaidi soma;
https://www.jamiiforums.com/threads...a-kwa-madai-kuwa-hauna-thamani-kwake.1227127/
https://www.jamiiforums.com/threads/ajikata-uume-akidai-yeye-ni-mungu.691316/