Mamushka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2010
- 1,595
- 99
Habari za toka mwaka jana wana Jf. Kwanza na mshukuru mungu kutupa uzima. Kuna jambo limekua likinitatiza kwa muda mrefu sasa, sijawahi kupata jibu na nimeshawahi kujaribu kuchunguza kwa wahusika kwa kuuliza maswali flani pengine ntapata jibu lakini wahusika hua hawako wazi. Yeyote anaeweza kunisaidia kwa jibu la swali langu, please kwa roho safi nisaidieni hata kama haijakupata ila ulishaskia kwa watu. Swali ni hivi eti wanawake walofiwa na waumezao yani wajane, tena wale ambao amefiwa akiwa kwenye umri mdogo ambao mtu anakua bado ana ham ya kufanya mapenzi, na pengine hajapata mtu kwakua anadhani ni mapema sana, au hataki mtu kwa kudai kumbukumbu ya mumewe mpenzi haija muisha kichwani, au ameokoka hawezi kua na mwanaume mpaka aolewe tena. Hawa wajane wakiskia ham au hali flani ya mwili kumsumbua huwa wanafanyaje? Jamani nataka kujua hili wanafanya ni ili ham iwaishe. Thanks guyz ntapata jibu kutoka kwenu. GOD IS GOOD ALL THE TIME.