Lilongwe to Dar

Petiro

JF-Expert Member
Nov 12, 2010
309
45
Wadau plz nahitaji namba ya simu ya office ya Taqwa buses au Mohammed Trans kwani nataka kusafiri toka Malawi kuja Bongo
 
Nawashukuru sn wadau nimepata basi la PHINDU LUXURY .
 
Acha ujinga huo, msikiti umehusu nini hapa. Mwenzio kauliza, hujui si unyamaze tu. Kazi kuleta udini tu. VIVA JF.

Ehh! ww vipi? mbona umelikoka? kwani misikitini mtu ukiwa na shida si ruksa kwenda kuuliza kwa waungwana?
 
Back
Top Bottom