Teh teh teh
Sna neno hapo!
Hata h*m hujisikii?
mhh ntakuwa kiumbe wa aina gani mie kutosikia hamu
Teh teh teh
Sna neno hapo!
Hata h*m hujisikii?
mhh ntakuwa kiumbe wa aina gani mie kutosikia hamu
michelle we kiboko,cku pesa zikiisha utamkimbia?
Uliempenda hunae shost!
mi hata sijui nampendea nini yule baba,nimetafuta kila sababu inayonifanya nimpende lakini nimekosa,ila nampenda to death.
sio mzuri
hana hela(masikini, santa claus hajanipa zawadi ya maana)
ana watoto wanne(na mke wake walioachan)
ameachishwa kazi, sasahivi ni kama deiwaka tu
amesha dirvoce(after he cheated his wife to another woman,not me)
sometime mkorofi
sio mjuzi kwenye 6 kwa 6
he is older than me, 10 yrs older
but jamani nampenda kufa,hata wanaume wengine siwaoni,namuona yeye tu dunia yote,we are not living together,kila mtu anaishi kwake,miji tofauti,ananitembelea kila weekend or after 2 week
mi hata sijui nampendea nini yule baba,nimetafuta kila sababu inayonifanya nimpende lakini nimekosa,ila nampenda to death.
sio mzuri
hana hela(masikini, santa claus hajanipa zawadi ya maana)
ana watoto wanne(na mke wake walioachan)
ameachishwa kazi, sasahivi ni kama deiwaka tu
amesha dirvoce(after he cheated his wife to another woman,not me)
sometime mkorofi
sio mjuzi kwenye 6 kwa 6
he is older than me, 10 yrs older
but jamani nampenda kufa,hata wanaume wengine siwaoni,namuona yeye tu dunia yote,we are not living together,kila mtu anaishi kwake,miji tofauti,ananitembelea kila weekend or after 2 week
mi hata sijui nampendea nini yule baba,nimetafuta kila sababu inayonifanya nimpende lakini nimekosa,ila nampenda to death.
sio mzuri
hana hela(masikini, santa claus hajanipa zawadi ya maana)
ana watoto wanne(na mke wake walioachan)
ameachishwa kazi, sasahivi ni kama deiwaka tu
amesha dirvoce(after he cheated his wife to another woman,not me)
sometime mkorofi
sio mjuzi kwenye 6 kwa 6
he is older than me, 10 yrs older
but jamani nampenda kufa,hata wanaume wengine siwaoni,namuona yeye tu dunia yote,we are not living together,kila mtu anaishi kwake,miji tofauti,ananitembelea kila weekend or after 2 week
wangu nilimpenda ni mrefu kama mimi. Miguu minene. Mat*k* unaweza kuketi usianguke. Ila mchezo si mshambuliaji mzuri. Nae anajua tangu mwanzo nilimwzmbia hilo.
Japo ana wivu kwangu zaidi.
c ulisema jogoo halikwei?
c ulisema jogoo halikwei?
Nashangaa sana hata mimi,manake kule anaomba msaada hadi ukamshauri anywe juice ya machungwa huku anatuambia si mchezaji mzuri demu wake,sijui labda anamaanisha nini i mean uchezaji ni upi kabla sijamsaidia zaidi na mimi?:car:
sijakupata kisawasawa hapo
Jichunguze mwenyewe kipo kinacho kuvutia.
Huyo si mchovu mamaa...anaweza kuja every week-end frm another mji...ha ha ha!
Icheki tena hiyo!
Ha ha ha ha ha haaaaaaaaa,nimetania mpenzi.....i wish iwe kweli........lol,singekimbia kwakuwa nami uwezo wa kutafuta ninao ningebaki nae tu....ila ningependa kujua ye ananipendea nini?[/QUOTE]
macho yako, sauti yako na mapozi yako.....