Mi wala simshangai girl friend wako. Mtu chake bwana.
Yani umefikia kupigiwa na simu ...wewe umekuwa dereva wa huyo binti???
Mimi mume wangu analijua hilo...marufuku kuwapa mabinti lifti...labda..tena labda wamama watu wazima jirani ninao wafahamu...nayo siyo ndo iwe kila siku.
Hata yeye hatanivumilia nikiwa nampa lifti jamaa fulani kila siku.
Lift lifti mwisho LIFT
Hivi mumeo angekuwa Daktari
labda Gyno hivi
ungefanyaje?
My Girlfriend Sikai nae, but juzi kati alikuja akambonji kwangu, then asubuhi akaona call from workmate ikinitaarifu kua ashafika kituoni.
Ye hataki kukutana nae, bali nsitoe lift au tuachane!!
Huyo girlfriend tu hivyo, akiolewa si ndo atakuwekea bodyguard kabisa usipige hata chafya bila yeye kujua?
Mpe funguo za gari basi mwambie yeye aende kazini wewe ukae nyumbani kutwa.
Akikuzuia lifti atakuzuia usionane naye huko kazini nako?
Kwenda lunch naye?
usaidiwe nini sasa? kutoa lifti, kuachwa au?
Hawa wengine watumbuiza barza hawakosi vineno vya hadithi hapa.
usaidiwe nini sasa? kutoa lifti, kuachwa au?
Ushauri tu bro.
Huyu gf sasa naona kama anataka kunipanda kichwani.
Hata nikimkwepa huyo binti barabarani nitakutana nae ofisini tu.
Kwa mfano nikiamua nami kua mbogo ili kulinda "sovereignty of man" isiwe "impaired", naona ndicho kilichobaki.
Ushauri tu bro.
Huyu gf sasa naona kama anataka kunipanda kichwani.
Hata nikimkwepa huyo binti barabarani nitakutana nae ofisini tu.
Kwa mfano nikiamua nami kua mbogo ili kulinda "sovereignty of man" isiwe "impaired", naona ndicho kilichobaki.
Si utani yaani mpaka hili pia tusaidie...kuna mtu anatasema jamani toka nimenunua hii nguo ya bluu ya ndani naona sasa inanibana... please help!!!!
Wadau,
Hivi karibuni ofisini kwetu ameingia mdada mmoja hivi ambae nlikuja kugundua anakaa karibu Na home.
Nimekua nikimpita kwenye kituo cha daladala na mwishowe anakuja ofisini akiwa amechelewa.
After few weeks toka aingie pale job nikaamua kua namsaidia lift daily.
Sasa my girlfriend amegundua na anatishia kuvunja mahusiano,
Please Help!!
Huo ndio uamuzi mkuu,Ushauri tu bro.
Huyu gf sasa naona kama anataka kunipanda kichwani.
Hata nikimkwepa huyo binti barabarani nitakutana nae ofisini tu.
Kwa mfano nikiamua nami kua mbogo ili kulinda "sovereignty of man" isiwe "impaired", naona ndicho kilichobaki.
Ushauri tu bro.
Huyu gf sasa naona kama anataka kunipanda kichwani.
Hata nikimkwepa huyo binti barabarani nitakutana nae ofisini tu.
Kwa mfano nikiamua nami kua mbogo ili kulinda "sovereignty of man" isiwe "impaired", naona ndicho kilichobaki.