Wimbo
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 783
- 525
Hapa najifanya msemaji wa Chama kwa kuwa nakipenda Chama changu, nakiamini na sina mpango wowote wa kukiacha, tunapoelekea miaka mingine mitano ya Samia, wapinzani wa ndani ya chama, mafisadi yaliyoko ndani ya chama, manyangau walioko ndani ya chama, leteni hoja zenu mapema, wanachama tutazijibu, na mtapata majibu ya kuwatosha.
Naonya machawa wote mnaopitapita kujipendekeza hata kwa yasiyofaa hamkijengi Chama mnakibomoa, Chama siyo cha DKT Samia ni cha waTanzania na tuko tayari kukilinda hatuko tayari kuruhusu kuona Nchi inamilikiwa na chama mamluki ambao fadhira zao ziko kwa mabeberu wa nje wanaoitamani Nchi hii ili waifyonze, tunayo mifano mingi katika Afrika na hatuko tayari kuiona amani yetu ikiparaganyika.
Naonya machawa wote mnaopitapita kujipendekeza hata kwa yasiyofaa hamkijengi Chama mnakibomoa, Chama siyo cha DKT Samia ni cha waTanzania na tuko tayari kukilinda hatuko tayari kuruhusu kuona Nchi inamilikiwa na chama mamluki ambao fadhira zao ziko kwa mabeberu wa nje wanaoitamani Nchi hii ili waifyonze, tunayo mifano mingi katika Afrika na hatuko tayari kuiona amani yetu ikiparaganyika.