Afadhali nimemfahamu sasa.View attachment 2877073
Huyo hapo yupo zamu.
Yaani hata aibu hawana aisee.Bora huko kwenu ni kila baada ya nusu saa. Huku mkoani niliko, ni kila baada ya dk mbili, mpaka unajiuliza "Kuna Mtoto yuko makao Makuu TANESCO amepewa remote kimakosa Sasa Kazi yaje ni kubonyeza bonyeza pasipo kujua athari Kwa jamii?"
Inakera sana
View attachment 2877073
Huyo hapo yupo zamu.
Wilaya Ya Chunya-Mkoa wa Mbeya- ukatikaji wa Umeme limekuwa janga Kubwa sana Kwa kweli.Tanesco Wilaya ya °Chunya°, Mkoa wa Mbeya wameshindikana Kwa aslimia 100%