Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,008
- 13,731
- Thread starter
- #21
Kuna bandiko lako linaelezea kuhusu pressure nililisoma jana.Ninashukuru Mungu nina 58 yrs sina Pressure ya aina yoyote ile na wala sina kilo nyingi mwilini mwangu. Pole sana bado kijana una Pressure? utatumia dawa za Hospoitali maishani mwako na pressure haito ondoka kamwe. Nitafute kwa wakati wako nipate kukutibia presha yako upate kuisikia katika Radio na TV upate kupona maradhi yako uguwa pole.
Nashukuru nitakutafuta.