BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,013
Bora machale yalinicheza na kutoagiza pambano hili maana ningeliwa ha ha ha. Sasa kama watamweka pesa nzuri Mayweather mezani kama $40 millioni au hata zaidi basi wanaweza kumshawishi arudi ulingoni ili achapane na mphillipines Pacquiao. Hili litakuwa pambano zuri sana na litavunja rekodi ya mapato katika Ulimwengu wa ndondi. Haya watu wataingia kazini kuanza kumuonyesha Bulungutu Mayweather, kama dau litakuwa zuri nina hakika Mayweather atarudi tena kuwaburudisha wapenzi wa masumbwi duniani.