zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,831
- 8,621
wakuu msaidieni zumbemkuu ameomba sana wekeni foto walau moja tu
mkuu umeonaee? bora uwakumbushe wewe! picha moja tu! sijui leo ma'reporter wetu wananini!
wakuu msaidieni zumbemkuu ameomba sana wekeni foto walau moja tu
Naombeni watu wa Nape mnitafute niwafundishe online propaganda, kwenye bold kwa mawazo yako unafikiri unakipaka matope CDM kionekane wafuasi wake ni wale wasio na kazi kumbe unaidhalilisha serikali na chama tawala na kuifanya CDM kipate sympathy kwa ku host na kujali unemployment class, poleni sana muelewe propaganda ina somo lake special you have to be careful when making comments on these issues you might be damaging your own part (party) matokeo yake mnabaki kulia JF ni ya CDM.Nasikia zile fuso za CDM zinafanya kazi yake zinasomba watu kila kona!
Watu wamekusanywa wanapewa chakula na bahasha ya kaki ndani kuna 500, kuna shamrashara kupita kiasi vijana ambao hawana kazi ndio wengi
Bado wanasomba watu na mafuso ya CDM wakijaa watakuwekea! chama cha siasa kinakwenda kununua Mafuso kumbe kazi yake ndio hiyomkuu umeonaee? bora uwakumbushe wewe! picha moja tu! sijui leo ma'reporter wetu wananini!
Sasa anaongea Mch. Peter Msigwa na ndio mwenyeji kwa mujibu wa mkutano wa Leo!
Siku ile picha zilikuwa zinatiririka kiasi cha kutosha hadi sisi tuliokuwa mbali tukajihisi kuwa uwanjani.
Sasa hawa wakuu leo sijui imekuwaje, ama leo kuna matukio ya kuchangamsha hadi wote wameshindwa kurusha picha??
Anyway, ngoja tuvute subira kidogo, huenda wakakumbuka.
Najua docta Slaa na wenzake wanakubalika sana A-town,Lakini naamini watakuwa wanachukua kila tahadhari inayo hitajika dhidi ya mamluki wa nape!(Japo kuna mtu humu jamvini aliwahiu kusema kuwa Dr. Slaa analindwa na JK!).hatimaye ule mkutano mkubwa na wa ukweli wa chama chetu cha Chadema utafanyika leo hapa a.town so hivyo jamani kaeni mkao wa kula natumai tutatoa kila tukio tutalileta hapa jamvini.peopleeeeeeeeeeeeeees
mwisho wa chadema hauko mbali. wamewatoa hao madiwani kwa upanga na wao watatolewa kwa upanga. historia hujirudia.
Bado wanasomba watu na mafuso ya CDM wakijaa watakuwekea! chama cha siasa kinakwenda kununua Mafuso kumbe kazi yake ndio hiyo
mkuu hukutuambia kama tayari ulikuwa tahrir square umweshaanza mambo,tuko tayari kwa sapoti
Mkuu baadhi ya makamanda hawakupata nafasi kuwepo huko leo, lakini naamini Crashwise atarusha soon.
sasa anaongea pendazoe
Bado wanasomba watu na mafuso ya CDM wakijaa watakuwekea! chama cha siasa kinakwenda kununua Mafuso kumbe kazi yake ndio hiyo