Leo ni: HESHIMA JUU kwa WANAWAKE!

Kuna tukio nililiona jana:
Acheni niwape heshima iliyotukuka wanawake woote;
IMAGINE:

ANAKUFUMANIA: Analia, ananyamaza, anasononeka, unambembeleza anakuelewa anakusamehe halafu anasahau!!!

UNAZAA NJE YA NDOA: Anasononeka na kulia sana. Anakuchukia lakini baadaye anakusamehe. Halafu analea mtoto uliyemzaa nje kwa upendo. Kama ni kuchukiwa atachukiwa mtoto, si wewe uliyefanya umalaya!

UNARUDI USIKU WA MANANE UKIWA MTUNGI: Anakukaribisha, anakuandalia chakula, unagoma kula. Anahifadhi chakula alichokuandalia bila manung'uniko.

UNAAMKA ASUBUHI NA MAHANGOVER: Anakuandalia staftahi (saa nyingine unagoma kutumia staftahi yake unakimbilia baa kwenda kunywa Supu na kuzimua. Wala halalamiki!

CHAKULA CHA USIKU: Ushapiga mtungi wako, mtarimbo umesimama, unataka huduma. Unamrukia, hamna maandalizi unamuumiza (Wengine wana mamitarimbo ya kufa mtu, sasa imagine hujamuandaa: LOL) Anavumilia ili akuridhishe. Na kesho yake tena inaweza tokea hii; hana kinyongo!

UNAJIANDAA KWENDA KIBARUANI: Unakuta kashakuandalia viwalo, suruwale imenyooshwa kama ya askari trafiki, shati limepigwa pasi ya maana! Nguo ulizovua jana zimeshalowekwa tayari kwa kufanyiwa usafi! Ulichomuudhi jana kashasahau na kukusamehe!

UNAMPA UJAUZITO: Anauthamini, anautunza anajifungua kwa uchungu, mtoto anakuachia wewe umpe jina, la kwake halimo kabisa kwenye majina atakayotumia mtoto! Na pamoja na uchungu wa kuzaa, bado yuko radhi kukuzalia mtoto mwingine na mwingine tena!

Na mengine meeeeengi sana wanafanyiwa hawa watu lakini WANASAMEHE, WANAVUMILIA! Ni watu muhimu sana hawa watu maishani mwangu!

HIVI INGEKEWA WANAUME TUNAFANYIWA HIVI INGEKUWAJE?

Kwa leo acheni tu niwape heshima zao wanawake wote:

I SALUTE AND LOVE THEM WOMEN!

(NB: Leo niko kimaadili zaidi!)

Toka niingie humu ndani hii.....KOFIA NIMEONDOA
Mkuu kumbe huwa una hekima samtaimu..LOL
 
Toka niingie humu ndani hii.....KOFIA NIMEONDOA
Mkuu kumbe huwa una hekima samtaimu..LOL

Ebo! Kumbe nilikuwa naonekana chizi kumbe?
Hahahahaha!
Hiyo kofia naidediketi kwa wanawake wote wanaonyonyesha!
 
hebu tujikumbushe kidogo........................
Leo ni: HESHIMA JUU kwa WANAWAKE!
Chrispin
user_offline.gif
15th January 2010, 09:13 AM
Kuna tukio nililiona jana:
Acheni niwape heshima iliyotukuka wanawake woote;
IMAGINE:

ANAKUFUMANIA: Analia, ananyamaza, anasononeka, unambembeleza anakuelewa anakusamehe halafu anasahau!!!

UNAZAA NJE YA NDOA: Anasononeka na kulia sana. Anakuchukia lakini baadaye anakusamehe. Halafu analea mtoto uliyemzaa nje kwa upendo. Kama ni kuchukiwa atachukiwa mtoto, si wewe uliyefanya umalaya!

UNARUDI USIKU WA MANANE UKIWA MTUNGI: Anakukaribisha, anakuandalia chakula, unagoma kula. Anahifadhi chakula alichokuandalia bila manung'uniko.

UNAAMKA ASUBUHI NA MAHANGOVER: Anakuandalia staftahi (saa nyingine unagoma kutumia staftahi yake unakimbilia baa kwenda kunywa Supu na kuzimua. Wala halalamiki!

CHAKULA CHA USIKU: Ushapiga mtungi wako, mtarimbo umesimama, unataka huduma. Unamrukia, hamna maandalizi unamuumiza (Wengine wana mamitarimbo ya kufa mtu, sasa imagine hujamuandaa: LOL) Anavumilia ili akuridhishe. Na kesho yake tena inaweza tokea hii; hana kinyongo!

UNAJIANDAA KWENDA KIBARUANI: Unakuta kashakuandalia viwalo, suruwale imenyooshwa kama ya askari trafiki, shati limepigwa pasi ya maana! Nguo ulizovua jana zimeshalowekwa tayari kwa kufanyiwa usafi! Ulichomuudhi jana kashasahau na kukusamehe!

UNAMPA UJAUZITO: Anauthamini, anautunza anajifungua kwa uchungu, mtoto anakuachia wewe umpe jina, la kwake halimo kabisa kwenye majina atakayotumia mtoto! Na pamoja na uchungu wa kuzaa, bado yuko radhi kukuzalia mtoto mwingine na mwingine tena!

Na mengine meeeeengi sana wanafanyiwa hawa watu lakini WANASAMEHE, WANAVUMILIA! Ni watu muhimu sana hawa watu maishani mwangu!

HIVI INGEKEWA WANAUME TUNAFANYIWA HIVI INGEKUWAJE?

Kwa leo acheni tu niwape heshima zao wanawake wote:

I SALUTE AND LOVE THEM WOMEN!

(NB: Leo niko kimaadili zaidi!)!

pia tukumbuke na response ya hiii thread:

The Following 47 Users Say Thank You to Chrispin For This Useful Post: Remove Your Thanks Akili Kichwani (15th January 2010), BelindaJacob (15th January 2010), bht (15th January 2010), Bigirita (15th January 2010), Bonge (18th January 2010), Bujibuji (15th January 2010), carmel (15th January 2010), Charity (15th January 2010), De Novo (15th January 2010), Edo (18th January 2010), eRRy84 (15th January 2010), Fidel80 (15th January 2010), FirstLady1 (15th January 2010), Geoff (15th January 2010), GP (15th January 2010), Iza (18th January 2010), JS (15th January 2010), Kaitaba (15th January 2010), Katavi (15th January 2010), klorokwini (15th January 2010), Kosmio (19th January 2010), Lady N (15th January 2010), Lekanjobe Kubinika (15th January 2010), Lily Flower (15th January 2010), Lumbe (15th January 2010), MADAI (15th January 2010), Mfamaji (15th January 2010), MjasiriamaliShupavu (15th January 2010), Msindima (18th January 2010), MwanajamiiOne (15th January 2010), Next Level (15th January 2010), Ngongo (15th January 2010), Nguli (15th January 2010), Nyamayao (15th January 2010), nyangoma (18th January 2010), PakaJimmy (16th January 2010), Preta (15th January 2010), Pretty (15th January 2010), Prodigal Son (15th January 2010), Shishi (15th January 2010), SMU (15th January 2010), Soulbrother (15th January 2010), Sugar wa Ukweli (17th January 2010), Sumbalawinyo (15th January 2010), Tshala (15th January 2010), Tumain (15th January 2010), WomanOfSubstance (16th January 2010)

hongereni WAKINA-MAMA wa jamiiforums.tuko pamoja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom