Leo mbunge mmoja wa chadema sawa na wabunge 30 wa ccm, kesho mbunge mmoja wa ccm sawa na wabunge 60

Uongozi huwa hauna uzoefu..uzoefu ni propaganda ambazo hutumiwa na viongozi wasio waadilifu kulinda maovu yao...uzoefu wa kuiba au kunyonya wananchi bila kujua,kwa hili la uzoefu ni kitu ambacho ni unpredictable katika uongozi hata wakoloni walidai waafrika hawana uzoefu katika masuala ya uongozi.
Suala la kuongoza tofauti na utawala uliopita linatekelezeka na sio gumu hapa afrika.
Fuatilia Rwanda na Zambia kwa sasa!
By the way umechambua vizuri lakini bado nasisitiza utendaji wa CDM madarakani ni unpredictable sababu hatuna uhakika na personnel watakao kuwa wabunge kwa CCM labda new faces,the same thing to other parties...hapo utasema bunge linatabirika?

laiti kama wote tungekuwa tunachangia hoja kama wewe nadhan tungekuwa mbali.
Ndugu yangu nakubaliana na wewe kwa 100% ninachojaribu kuwaza hapa ni kama siku chadema nao wakishika dola, je wabunge wake wataendelea kuwasemea wananchi bungen kama wanavyofanya sasa hv?
 
Natambua hujui kuwa katiba ya sasa ya Tanzania hairuhusu kuteuliwa kwa waziri asiye mbunge, natambua haujui kuwa katika mfumo wa siasa zetu ni jukumu na wajibu wa mbunge kuwawakilisha wale waliomchagua pamoja na kukiwakilisha chama chake natambua hutambui kuwa ni wajibu wa mbunge kukitetea chama chake serikalini na mwisho natambua kuwa huwa hata hufuatilii bunge hata hili la sasa na kuona wabunge woote wakichangia na kupiga kura kwa matakwa ya vyama vyao.
ndugu yangu hacha kuwaza ma kufanya maamuzi kwa kuegemea vyama vya siasa hebu jifunze kwenda na uhalisia

wacha acha kumua kwa kutumia mfumo..kwani baraza la mawaziri unadhani lazima liwe na watu 60.. na ccm wanapiga kwa chama kutokana na mfumo wao mbovu..viongozi wa watu huwakilisha watu popote na serikali itapata kura kwa mrengo wa wananchi..na bunge lililopita cdm wamepiga kura kwa upepo wa wananchi kupitia vyanzo mbalimbali wakiwemo waliowachagua..kama ingekuwa kwa ajili ya cdm wasingefika hapa..na ccm imefika hapo..
 
Tuchambue kwa hoja..hii ni hypothesis ambayo kulingana na uwezo wake ila ukweli ni kwamba uwezo wa viongoz wa magamba ni mdogo sana sana yaan hamna namna ya kumumble maneno.
 
laiti kama wote tungekuwa tunachangia hoja kama wewe nadhan tungekuwa mbali.
Ndugu yangu nakubaliana na wewe kwa 100% ninachojaribu kuwaza hapa ni kama siku chadema nao wakishika dola, je wabunge wake wataendelea kuwasemea wananchi bungen kama wanavyofanya sasa hv?

we una umri gani..?huwezi kijana kuwa conservative namna hii.. watu huamini katika changes..huwezi sema naogopa kuondoka nyumbani kwa baba na mama nisije shindwa maisha.. sisi hatutaki kusemewa kama serikali inatambua wajibu wake kwa wananchi..ikitimiza wajibu mengine yatakuwa nyongeza tu..
 
laiti kama wote tungekuwa tunachangia hoja kama wewe nadhan tungekuwa mbali.
Ndugu yangu nakubaliana na wewe kwa 100% ninachojaribu kuwaza hapa ni kama siku chadema nao wakishika dola, je wabunge wake wataendelea kuwasemea wananchi bungen kama wanavyofanya sasa hv?
unaposema kuwasemea wananchi inamaana wabunge wa ccm hawawasemei wananchi? that is scary! wanawasemea nani sasa? halafu zungumzia na other side of the coin wakiendelea na moto wao wa sasa hali itakuwaje? ushindi wa wakomunist wa china na wanarevolution wa ufaransa uliwaletea maisha bora, ungekuwepo huko bila shaka ungewarudisha nyuma!
 
hivi ni kwa nini badala ya kutafakar na kufafanua kile kilichosemwa mnakimbilia kumshambulia mtu?
Binafsi mimi Dijovison Josephat sio mwanachama wala mshabiki wa chama chochote cha siasa,
siku zote naongea ukweli ili kukusaidia mtanzania mwenzangu kujua kile usichokijua.

we mwenyewe hujui kitu chochote utamfundisha nani? elimu hii kawape magamba wenzio na si vichwa vya cdm vinavyofikiria kila siku mambo makubwa juu ya nchi hii.umepost uharo aiseee <pole sana
 
Wengi mmejiribu kunambia kuwa CHADEMA ina viongozi wazalendo zaidi ya CCM (yaweza kuwa kweli au isiwe kweli) Swali ninalojiuliza ni kwamc uzalendo walionao wabunge wa CHADEMA ni kweli uzalendo toka moy0‹2i au ni uzalendo wa njaa kwamba na wao wakipata kama wa CCM watatusahau?
Historia inanionesha kuwa wengi wanaoonekana wazalendo wanaonekana hvyo kwa sababu ya shida zao mfano rejea kpnd cha Karl Marx, Lenin na hata sababu za kumpindua Nkrumah.
 
laiti kama wote tungekuwa tunachangia hoja kama wewe nadhan tungekuwa mbali.
Ndugu yangu nakubaliana na wewe kwa 100% ninachojaribu kuwaza hapa ni kama siku chadema nao wakishika dola, je wabunge wake wataendelea kuwasemea wananchi bungen kama wanavyofanya sasa hv?

kwanini unapenda mambo ya ki shekhe yahaya wewe?
 
Wale wazee wanaolaumiwa hivi sasa kuifikisha hapa nchi na kukikumbatia chama tawala, enzi za ujana wao walikuwa na mawazo haya haya ya vijana wao, kutotaka wakipendacho kikosolewe.
Like a father like a son, naona tabia pacha, wamerithishwa kila kitu, ingawa mapenzi ya hawa vijana wao wa sasa ni kwa opposite side but same eelings and the same methods.
 
wacha acha kumua kwa kutumia mfumo..kwani baraza la mawaziri unadhani lazima liwe na watu 60.. na ccm wanapiga kwa chama kutokana na mfumo wao mbovu..viongozi wa watu huwakilisha watu popote na serikali itapata kura kwa mrengo wa wananchi..na bunge lililopita cdm wamepiga kura kwa upepo wa wananchi kupitia vyanzo mbalimbali wakiwemo waliowachagua..kama ingekuwa kwa ajili ya cdm wasingefika hapa..na ccm imefika hapo..

Je unazifahamu sababu za kale kamgogoro ka Shibuda na baadhi ya wabunge CHADEMA?
 
maskini mtanzania mwenzangu, kumbe pa1 na kujiita mchadema lakin hujawah kuwaza nini kitatokea kama chadema wakishika dola? eti "vi2 vyakufikirika" ndugu yangu mpaka lmleo unatumia maneno haya ya kizamani kujidefence? kama hujui msamiati"vi2 vyakufikirika" ni msamiati unaopatikana kwenye kamusi ya wapumbavu!
Kwenye kamusi yenu kwa lugha nyingine
 
Naamini ufinyu wa mawazo usababisha watu wamshambulie mtoa hoja badala ya kuishambulia hoja iliyotolewa.
 
Ni kweli kabisa alivyosema mh. Mbowe kuwa mbunge mmoja wa CHADEMA ni sawa na wabunge 30 wa CCM.

Hivi ulishawahi kujiuliza ni kwa nini wabunge wa ccm (walio wengi sio wote)
ni very weak? hawajui kujielezea, hawajui kujenga hoja? kama hukupata majibu mimi nitakusaidia kukujibu leo, ni kwa sababu chama chao ndio kinashika dola, ni kwa sababu wengi wao walitumia pesa kuupata ubunge na ni kwa sababu wamelizika na mambo yanayofanywa na serikali yao ya CCM!
Na je ulishawahi kujiuliza kuwa ni kwa nini wabunge wa CHADEMA ni wazuri kujielezea, kujenga hoja na kuonekana kwenda sawa sawa na wale wa CCM japokuwa wao ni 48 tu? Na hapa nikusaidie kukupa jibu ni kwa sababu wengi wao ni vijana (wanatafuta umaarufu wa kisiasa), wengi ni wasomi,hawakuingia bungeni kwa pesa na sasa wanajitahidi kumaintain position yao katika jamii na sababu kuu ni kwa sababu chama chao hakijashika dola!
Hivi ulishawahi kujiuliza siku CHADEMA ikishika dola hali itakuwaje bungeni?
mi naona hivi:-
Wabunge 60 wa CHADEMA watakuwa sawa na mbunge 1 wa CCM.

kivipi?

kwanza, wabunge wa CHADEMA watapunguza ukali wao bungeni na kuwa bize kuitetea serikali.

Pili, mawaziri wengi wa CHADEMA watakuwa hawana na uzoefu wa kiutawala wakati wapinzani wao watakuwa na uzoefu mwingi na wakutosha (kumbuka uwaziri kivuli unatofauti kubwa sana na uwaziri kamili)

Tatu, CHADEMA wakiingia madarakani watataka kuongoza tofauti na CCM wanavyoongoza kitu ambacho kukiongea ni rahisi lakini kukitekeleza ukiwa madarakani ni vigumu mno. kwa mfano kama Dr Slaa angeshinda katika uchaguzi wa 2010 angewezaje kutengeneza serikali yake bila kuwachagua wale anaowafahamu na kuamini ndo atakaoweza kufanya nao kazi? naamini hata kama mimi ningekuwa na uwezo gani asingenichagua kwa sababu hanijui na wala sijawahi kufanya naye kazi (kitu ambacho JK amefanya na hata kiongozi yeyote atalazimika kufanya kama JK)

Nne, CHADEMA watataka kutuonesha watanzania kuwa hatujakosea kuwachagua kutuongoza nahisi watakuwa wanafanya maamuzi mengi ya kuturidhisha wananchi kwa 100% kitu ambacho ni hatari kwa uongozi.

Tano, kama ilivyo kwa nchi nyingine za Afrika, CHADEMA na wao hawataongoza bila kuwa na msukumo kutoka nchi za magharibi, kitu ambacho ni hatari kwa viongozi woooote wa Afrika.

HITIMISHO.
UZOEFU WA KISERIKALI WALIONAO VIONGOZI WENGI WA CCM NA UKOSEFU WA UZOEFU WA UONGOZI WA KISERIKALI WALIONAO VIONGOZI WENGI WA CHADEMA UTAWAFANYA WABUNGE 60 WA CHADEMA KUWA SAWA NA MBUNGE MMOJA WA CCM SIKU CHADEMA WAKISHIKA DOLA!



Mkuu hitimisho sijakusoma kwauchambuzi wako unatuambia tusiwape cdm dola hawana uzoefu tuiache ccm kwani wao wanauzoefu au unatuambiejee?
 
unaposema kuwasemea wananchi inamaana wabunge wa ccm hawawasemei wananchi? that is scary! wanawasemea nani sasa? halafu zungumzia na other side of the coin wakiendelea na moto wao wa sasa hali itakuwaje? ushindi wa wakomunist wa china na wanarevolution wa ufaransa uliwaletea maisha bora, ungekuwepo huko bila shaka ungewarudisha nyuma!

mkuubona hujanijibu hii? kukimbia hoja ni dalili za ugamba!.
 
unaposema kuwasemea wananchi inamaana wabunge wa ccm hawawasemei wananchi? that is scary! wanawasemea nani sasa? halafu zungumzia na other side of the coin wakiendelea na moto wao wa sasa hali itakuwaje? ushindi wa wakomunist wa china na wanarevolution wa ufaransa uliwaletea maisha bora, ungekuwepo huko bila shaka ungewarudisha nyuma!

mkuu mbona hujanijibu hii? kukimbia hoja ni dalili za ugamba!.
 
maskini mtanzania mwenzangu, kumbe pa1 na kujiita mchadema lakin hujawah kuwaza nini kitatokea kama chadema wakishika dola? eti "vi2 vyakufikirika" ndugu yangu mpaka leo unatumia maneno haya ya kizamani kujidefence? kama hujui msamiati"vi2 vyakufikirika" ni msamiati unaopatikana kwenye kamusi ya wapumbavu!

kama wewe ni mtu unayependa ukweli,basi utakubaliana na mimi kuwa kwa kweli hizi ni hisia zako ambazo yawezekana zisiwe kweli kwa sababu hauwezi kuwa na uhakika kwamba cdm watafanya hivyo wakati hawako madarakani.tujipe mda then if ikitokea hivyo ndo unaweza kuwa kifua wazi kusema.Kumbuka watu walishasema maisha bora kwa kila mtanzania lakini sasa hivi hawataki kabisa ukumbushie hiyo kauli.so be warned
 
Je unazifahamu sababu za kale kamgogoro ka Shibuda na baadhi ya wabunge CHADEMA?

ukianza habari za shibuda hapa wote tutaonekana wehu..labda na mi nikuulize je unazifahamu sababu za ule mgogoro wa shibuda na chama chake cha mapinduzi kabla hawajamtosa kura za maoni..na pia kuhama chama..?
 
Back
Top Bottom