Leo mbunge mmoja wa chadema sawa na wabunge 30 wa ccm, kesho mbunge mmoja wa ccm sawa na wabunge 60

Hizi hoja huwa zinaniboa sana mtu anasema CDM wakishika nchi watakuwa kama ccm tu,wape nafasi then uone kama watakuwa kama Ccm au lakini huwezi leo kupredict uongozi wa cdm kwa kucompare na ccm utakuwa unakosea sana! hivyo ni vyama viwili tofauti kila kimoja kina sera zake kwahiyo kuitabiria cdm kwa kufuata mfumo wa ccm ni kukosa hoja!
 
Mkuu hitimisho sijakusoma kwauchambuzi wako unatuambia tusiwape cdm dola hawana uzoefu tuiache ccm kwani wao wanauzoefu au unatuambiejee?

sijasema kwamba tusiwape dola Cdm bali nlichosema n kwamba cku cdm wakipata dola watapata challenges nyingi zaid kutoka kwa ccm
 
mkuubona hujanijibu hii? kukimbia hoja ni dalili za ugamba!.

mkuu mbunge anapowaongelea wananchi ni yule anayeongea mawazo ya wananchi bungeni kwa 100% ccm wanawaongelea wananchi ila kwa asilimia kubwa wanakiongelea chama chao.
 
kama wewe ni mtu unayependa ukweli,basi utakubaliana na mimi kuwa kwa kweli hizi ni hisia zako ambazo yawezekana zisiwe kweli kwa sababu hauwezi kuwa na uhakika kwamba cdm watafanya hivyo wakati hawako madarakani.tujipe mda then if ikitokea hivyo ndo unaweza kuwa kifua wazi kusema.Kumbuka watu walishasema maisha bora kwa kila mtanzania lakini sasa hivi hawataki kabisa ukumbushie hiyo kauli.so be warned

ni kweli kabisa hizi ni hisia zangu ambazo zaweza kuwa kweli au zisiwe kweli.
Binafsi sidhani kama natakiwa kusubiri iwe hivyo na ndio maana nikaamua kuyaongea.
Mi naamini yule asiyejitambua ndo atasubiri yatokee na matokeo yake ni umaskini kuongezeka.
Kinachoifanya ccm iwe ilivyo sasa hivi ni muundo na mfumo mzma wa chama na serikali. Chadema hawana muundo na mfumo tofaut na ule wa ccm na tena Nakuhakikishia ndugu yangu (kwa mtu aliyesoma political science) atakuwa shahidi yangu na ukitaka nikufafanulie kwa uwazi zaid naweza kwenye muundo na mfumo wa chama ccm wana muundo na mfumo mzuri zaidi ya chadema.
 
ukianza habari za shibuda hapa wote tutaonekana wehu..labda na mi nikuulize je unazifahamu sababu za ule mgogoro wa shibuda na chama chake cha mapinduzi kabla hawajamtosa kura za maoni..na pia kuhama chama..?

Nilimuhusisha Shibuda ili uwe mfano mzur wa kuwaonesheni kuwa CCM na CHADEMA wanafanana kimuundo na kimfumo. Na kwa kuangalia vyanzo vya migogoro yake na hivi vyama utakubaliana na mimi.
 
Hizi hoja huwa zinaniboa sana mtu anasema CDM wakishika nchi watakuwa kama ccm tu,wape nafasi then uone kama watakuwa kama Ccm au lakini huwezi leo kupredict uongozi wa cdm kwa kucompare na ccm utakuwa unakosea sana! hivyo ni vyama viwili tofauti kila kimoja kina sera zake kwahiyo kuitabiria cdm kwa kufuata mfumo wa ccm ni kukosa hoja!

Vyama vyote vya siasa ndani ya Tanzania vna sera tofauti (japo sio sana) lakin vyooote vina muundo na mfumo unaofanana.
Ngoja nckulazimishe kuamini kile ninachoamini hebu nipe tofauti za kimuundo na kimfumo zilizopo kati ya CCM na CHADEMA/CUF/NCCR MAGEUZI etc .
 
Hizi hoja huwa zinaniboa sana mtu anasema CDM wakishika nchi watakuwa kama ccm tu,wape nafasi then uone kama watakuwa kama Ccm au lakini huwezi leo kupredict uongozi wa cdm kwa kucompare na ccm utakuwa unakosea sana! hivyo ni vyama viwili tofauti kila kimoja kina sera zake kwahiyo kuitabiria cdm kwa kufuata mfumo wa ccm ni kukosa hoja!

Vyama vyote vya siasa ndani ya Tanzania vna sera tofauti (japo sio sana) lakin vyooote vina muundo na mfumo unaofanana.
Ngoja nckulazimishe kuamini kile ninachoamini hebu nipe tofauti za kimuundo na kimfumo zilizopo kati ya CCM na CHADEMA/CUF/NCCR MAGEUZI etc .
 
Huyu hajui kuwa kinachobadilika ni uongozi na aina ya maamuzi, shuguli za kiserikali zitabaki kuendelea kama kawaida.
Mara nyingi mageuzi na mabadiliko lazima yawe na sura mpya, kumbuka yakishakuja huna budi kuyapokea. Watanzania wenye akili na uwezo wa kuongoza nchi ni wengi sana, labda wewe kama haumo. Awe CCM, awe CDM, watu wapo tu,

Hesabu zako za wabunge vipi. Hizo ratio ni za kufikirika tu. Wabunge watashika kasi kama wana hoja. CDM wana hoja kwa bunge lililopita, wakiishiwa hutawaona.
 
Ni kweli kabisa alivyosema mh. Mbowe kuwa mbunge mmoja wa CHADEMA ni sawa na wabunge 30 wa CCM.

Hivi ulishawahi kujiuliza ni kwa nini wabunge wa ccm (walio wengi sio wote)
ni very weak? hawajui kujielezea, hawajui kujenga hoja? kama hukupata majibu mimi nitakusaidia kukujibu leo, ni kwa sababu chama chao ndio kinashika dola, ni kwa sababu wengi wao walitumia pesa kuupata ubunge na ni kwa sababu wamelizika na mambo yanayofanywa na serikali yao ya CCM!
Na je ulishawahi kujiuliza kuwa ni kwa nini wabunge wa CHADEMA ni wazuri kujielezea, kujenga hoja na kuonekana kwenda sawa sawa na wale wa CCM japokuwa wao ni 48 tu? Na hapa nikusaidie kukupa jibu ni kwa sababu wengi wao ni vijana (wanatafuta umaarufu wa kisiasa), wengi ni wasomi,hawakuingia bungeni kwa pesa na sasa wanajitahidi kumaintain position yao katika jamii na sababu kuu ni kwa sababu chama chao hakijashika dola!
Hivi ulishawahi kujiuliza siku CHADEMA ikishika dola hali itakuwaje bungeni?
mi naona hivi:-
Wabunge 60 wa CHADEMA watakuwa sawa na mbunge 1 wa CCM.

kivipi?

kwanza, wabunge wa CHADEMA watapunguza ukali wao bungeni na kuwa bize kuitetea serikali.

Pili, mawaziri wengi wa CHADEMA watakuwa hawana na uzoefu wa kiutawala wakati wapinzani wao watakuwa na uzoefu mwingi na wakutosha (kumbuka uwaziri kivuli unatofauti kubwa sana na uwaziri kamili)

Tatu, CHADEMA wakiingia madarakani watataka kuongoza tofauti na CCM wanavyoongoza kitu ambacho kukiongea ni rahisi lakini kukitekeleza ukiwa madarakani ni vigumu mno. kwa mfano kama Dr Slaa angeshinda katika uchaguzi wa 2010 angewezaje kutengeneza serikali yake bila kuwachagua wale anaowafahamu na kuamini ndo atakaoweza kufanya nao kazi? naamini hata kama mimi ningekuwa na uwezo gani asingenichagua kwa sababu hanijui na wala sijawahi kufanya naye kazi (kitu ambacho JK amefanya na hata kiongozi yeyote atalazimika kufanya kama JK)

Nne, CHADEMA watataka kutuonesha watanzania kuwa hatujakosea kuwachagua kutuongoza nahisi watakuwa wanafanya maamuzi mengi ya kuturidhisha wananchi kwa 100% kitu ambacho ni hatari kwa uongozi.

Tano, kama ilivyo kwa nchi nyingine za Afrika, CHADEMA na wao hawataongoza bila kuwa na msukumo kutoka nchi za magharibi, kitu ambacho ni hatari kwa viongozi woooote wa Afrika.

HITIMISHO.
UZOEFU WA KISERIKALI WALIONAO VIONGOZI WENGI WA CCM NA UKOSEFU WA UZOEFU WA UONGOZI WA KISERIKALI WALIONAO VIONGOZI WENGI WA CHADEMA UTAWAFANYA WABUNGE 60 WA CHADEMA KUWA SAWA NA MBUNGE MMOJA WA CCM SIKU CHADEMA WAKISHIKA DOLA!



Mkuu,
Naomba nipingane nawe kuwa viongozi wengi wa CHADEMA hawajui kujieleza bali nafikiri kuwa pengine wewe ni mhafidhina asiyetaka kuona mabadiliko mema anayo vionoiz wa CHADEMA wanatoa kupitia 'Elimu ya URAIA',

Mkuu sikiliza clips hizi hapa chini uone jinsi walivyo na visheni ya kupamana na watani wa Magamba ili kuchukua dola 2015 ktk mfano eneo la mkakati wa kupata KATIBA mpya kwa manufaa ya Watanzania wote toka kwa Mh Mbowe Mbunge CHADEMA:



Pia sikiliza jinsi wabunge wa CHADEMA wanavyojitoa kutetea nchi hii ila kuogopa kuwa watakosa ulaji wao Mh. Wenje Mbunge CHADEMA:



VIDEO KWA HISANI YA BongolineNetwork wa YOUTUBE.
 
Last edited by a moderator:
Pumba zako peleka facebook[/QUOTE Unamaanisha kuwa huu mtandao ni wenu nyie chadema tuu CCM hana haki? Kwa taarifa yako watanzania wameshawastukia siku nyingi tabia yenu ya kujiona ninyi ni wasafi na hamkosei wal hamtakosea kabla ya kuingia madarakani na baada ya kuingia madarakani. Au kama vipi wekeni tangazo humu jamii forum kuwa wana CCM msichangie wala kutoa hojaaa! Mbumbu weee]
 
Kaka pole nilijua tuu utatukanwa humu jamii forum kwa kuichana chadema ila ukweli umewapa watake wasitake utakia kuwa kweli. Na kama una jingine tupa tu hapa hawawezi kukuwekea mipaka eti peleka facebook kwani huu mtandao ni kwa ajili ya CHADEMA TU? CCM OYEEE
 
Huyu hajui kuwa kinachobadilika ni uongozi na aina ya maamuzi, shuguli za kiserikali zitabaki kuendelea kama kawaida.
Mara nyingi mageuzi na mabadiliko lazima yawe na sura mpya, kumbuka yakishakuja huna budi kuyapokea. Watanzania wenye akili na uwezo wa kuongoza nchi ni wengi sana, labda wewe kama haumo. Awe CCM, awe CDM, watu wapo tu,

Hesabu zako za wabunge vipi. Hizo ratio ni za kufikirika tu. Wabunge watashika kasi kama wana hoja. CDM wana hoja kwa bunge lililopita, wakiishiwa hutawaona.

Nadhani na wewe hutambui kuwa hakuna serikali yeyote duniani inayotoa maamuzi nje ya mfumo wake, Ccm wanatumia katiba ya URT kufanya maamuzi Chadema na wao wakipewa dola watatumia katiba hiyo hiyo kufanya maamuzi.
 
Mkuu,
Naomba nipingane nawe kuwa viongozi wengi wa CHADEMA hawajui kujieleza bali nafikiri kuwa pengine wewe ni mhafidhina asiyetaka kuona mabadiliko mema anayo vionoiz wa CHADEMA wanatoa kupitia 'Elimu ya URAIA',

Mkuu sikiliza clips hizi hapa chini uone jinsi walivyo na visheni ya kupamana na watani wa Magamba ili kuchukua dola 2015 ktk mfano eneo la mkakati wa kupata KATIBA mpya kwa manufaa ya Watanzania wote toka kwa Mh Mbowe Mbunge CHADEMA:



Pia sikiliza jinsi wabunge wa CHADEMA wanavyojitoa kutetea nchi hii ila kuogopa kuwa watakosa ulaji wao Mh. Wenje Mbunge CHADEMA:



VIDEO KWA HISANI YA BongolineNetwork wa YOUTUBE.


Mkuu nashukuru kwa clips zako ila cdhan kama nmesema wabunge wa CHADEMA hawajui kujieleza, hebu soma maelezo yangu vizuri.
 
Last edited by a moderator:
Kwa kifupi unakataa mabadiliko, nakutafutia tusi la kukufaa

Ningekuwa nakataa mabadiliko nisingekuwa hapa nilipo.
Na duniani hakuna mtu timamu asiyependa mabadiliko ila npo hapa kukuonesha mabadiliko yatakayotokea yatakuwa kwenye sura gani?
 
hivi ni kwa nini badala ya kutafakar na kufafanua kile kilichosemwa mnakimbilia kumshambulia mtu?
Binafsi mimi Dijovison Josephat sio mwanachama wala mshabiki wa chama chochote cha siasa,
siku zote naongea ukweli ili kukusaidia mtanzania mwenzangu kujua kile usichokijua.

binafsi naukubali uzoefu wa viongozi wa ccm kwenye nyanja za wizi , ufisadi na ubadhilifu kwa hayo tu wanaweza kuishinda cdm lakini kwa ubora wa uongozi hakuna kitu kama hiki ccm ni wabovu mno maana hakuna haja ya kumsifia mtu ambaye eti kwa sababu ya umri wake anaweza kuwa mtu bora hapa umri na ukongwe sio hoja, hoja ni uwezo wa kiutendaji.
 
huwezi kusema mtu mmoja ni sawa na watu 30 “A paranoid is someone who knows a little of what's going on. ”
 
Ndio maana tunataka kwenye katiba mpya pawe na wabunge wasiozidi idadi ya mikoa ya Tz. bara na visiwani. Tumechoshwa na wabunge wanaokwenda Bungeni kuuchapa usingizi mnono na kupokea posho tu.
 
Back
Top Bottom