MUREFU
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,331
- 350
naona sasa dar imekuwa sehemu ya migomo kila kukicha leo tulizuiwa njia kisa wafuasi wa shekhee mponda kesho sijui tutasimamishwa wapi kwenye foleni au kunajengo litachomwa maana sasa hivi dar haitabiliki kila siku visa vipya.usiku mwema waungwana tusisahau kuiombea nchi yetu maana inapokwenda sipo