Lengo la kuiondoa CCM madarakani lipo palepale

Mwiba

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
7,607
1,744
Kama CCM mna ota kuwa mtaitawala nchi hii milele, kwa kweli mtakuwa mnaota ndoto za mchana aka Day Dreams na nawaomba sana msijidanganye kuwa JP ameuwa au anauwa upinzani zaidi anauimarisha upinzani kwa kasi ya ajabu.

Nia, lengo na madhumuni ya kuipapatua CCM lipo palepale na ni kama linazaliwa kila kukicha ,wataoapkufa watakufa ila 2020 haipo mbali, Zanzibar tayari CCM imeshaondolewa hilo halina mjadala, kinachoendelezwa ni ule ugumu wa kutoka roho haswa roho yako inapokuwa mbaya ,lazima utaleta makeke na kurusha madaluga, ukweli CCM imepigwa na chini.

Huku Tanganyika CCM imepenya kwenye tundu la sindano na pumua pumua yake imeenda kuvamia nyumba za masikini na kuvunja na si utekelezaji bali ni hasira, nchi inakusanya kodi kwa tamaa kuwa itawaokoa na kuwaweka katika hali isiyohitaji misaada, sasa jiulize hizo njia za kodi zikifungiwa na kufungwa ?

Kama ni kuabudu basi CCM muabuduni Lubuva kwani amewapitishaa njia ya shetani na mtaendelea nayo hio hadi 2020,ushindi wa Magufuli unatiliwa shaka sijui waliojiandikisha ni wangapi kura zikijumlishwa za Lowassa na magufuli zinatokea ngapi linganisha utaona kitu kisichowezekana kimetokezwa ni Lubuva na wenzake anaowajua yeye, uzuri ni kuwa maamuzi ya tume yaheshimiwe na ndipo tulipo ,goli la mkono tumeliona, sheria imeachwa kufuata mkondo wake sasa tunampa heshima Magufuli as our president, vipi ameshinda hilo si tatizo .

Tume huru ndio itakayosema kweli ila sio hii ya Lubuva na Jecha.
 
Tume huru ndio itakayosema kweli ila sio hii ya Lubuva na jecha,
mkuuu always huwa unatoa points sana
bavicha wa humu tunajivunia uwepo wako uliotukuka
haya mafisiem bila ya wizi hawapiti,...ila 1day yanamwisho haya
 
Wengi ambao wakiamka tu ni mawazo ya kutaka ccm itoke madarakani na kiingie chama chao cha upinzani madarakani hawana tofauti na hawa wenye mahaba niue wa chama cha mapinduzi hivi sasa.



Sie wengine tunaona ni kama manyani wawili ambao kila mmoja akicheka makalio ya mwenzie.
 
2020 wapiga kura makini .... watakaochagua wagombea makini.... watatupatia jibu makini.
 
2020 wapiga kura makini .... watakaochagua wagombea makini.... watatupatia jibu makini.
Na sisi wenye jicho la tatu tumeliona jibu kwa mbaaaali kuwa jibu makini ni ccm yenye kizazi kipya kisicho na makandokando ya wanamtandao. Ndo tegemeo la taifa hili.
 
sasa hivi upinzani ndio unaoiimarisha ccm usishangae 2020 mkakosa mgombea au mkapata kura za aibu
Hapana ukisema hivyo utakuwa unakosea , mwananchi kama mwananchi ndio atakuwa mhusika mkuu wa kuiondoa CCM kwenye utawala kupitia vyama vya upinzani.

Mimi mwananchi umeingia madarakani tu unanivunjia nyumba hata huchunguzi wakati nina nyaraka zote za srikali zinazonifanya niwe mmiliki halali na nimezipata huko wizarani na mimi niliipigia kura ccm unafikiri 2020 kura yangu nitaipeleka ccm ,waliopata matatizo ya kuvunjiwa nyumba ni zaidi ya wananchi milioni moja waliofikia umri wa kupiga kura.

Umetuwambia elimu bure umegawa hela tukipiga hesabu mwanafunzi anapata shilingi selasini ,umeturudia na vijisababu eti watu wamejitokeza kupekeka watoto wao mashule baada ya serikali kutangaza elimu bure michango free na hivyo makisio hayakutosheleza hivi nchi hii haina sensa si mwaka juzi tu tulimaliza sensa ,sasa nini faida ya senza ,sensa nakubeep kuwa watoto wangapi watakuea tayari kuanza shule.

CCM mtaondoka tu endeleeni kukwiba na kubadilisha matokeo na mnapoona mmepigwa na chini mnafuta uchaguzi kwa sababu zisizo na vichwa wala miguu ,ila yote mnayoyafanya eleweni yana mwisho hata kama nyinyi mtakuwa mmeshakufa.
 
Sawa lakii hebu tuelekeze nguvu zetu katika kufanya kazi kwa bidii na kumpa ushirikiano Rais Joh Pombe Magufuli maana uchaguzi ulishaisha na sasa ni wakati wa kuijenga NCHI
 
Sawa lakii hebu tuelekeze nguvu zetu katika kufanya kazi kwa bidii na kumpa ushirikiano Rais Joh Pombe Magufuli maana uchaguzi ulishaisha na sasa ni wakati wa kuijenga NCHI
nani kakwambia kama uchaguzi umeisha ,wewe baada ya kusema kuwa sasa ndio kuna uchaguzi na ndio umeanza ,si umesikia jamaa wamekataa kung'oka baada ya kugalagizwa huko Zenji ? huo ndio uchaguzi , na bado tunaingia kazini kuisaka tume huru angalau ikaribie kama ile ya Zenji !
 
nani kakwambia kama uchaguzi umeisha ,wewe baada ya kusema kuwa sasa ndio kuna uchaguzi na ndio umeanza ,si umesikia jamaa wamekataa kung'oka baada ya kugalagizwa huko Zenji ? huo ndio uchaguzi , na bado tunaingia kazini kuisaka tume huru angalau ikaribie kama ile ya Zenji !
umepima malaria hivi karibui Mkuu? Uchaguzi mwingine ni 2020 Tuijenge Tanzania yetu kwanza tumpe ushirikiano Mheshimiwa Rais JPM
 
umepima malaria hivi karibui Mkuu? Uchaguzi mwingine ni 2020 Tuijenge Tanzania yetu kwanza tumpe ushirikiano Mheshimiwa Rais JPM

Ndio muuaji mmoja akasema CCM iwe igombea URAISI peke yake ,yaani mligombea ili mupewe ushirikiano kwa maana hiyo tuufute upinzani.

Sijui ndio mbutwai wa siasa ,au tuseme kwenye siasa kumeingiliwa ? Wewe kama dakitari alikwambia umepona uwenda wazimu atakuwa amekuondoa njiani tu.

Katika siasa ni marufuku vyama vya upinzani kutoa ushirikiano na chama kilicho madarakani vyama vile vinavyojiunga kurejea uchaguzi wa Jecha kule Zanzibar vyama vile ni vya kinafiki, ,hilo halipo na ukiona chaama kinafanya hivyo ujue chama hicho ni cha kinafik Serikali ikisema kweli upinzani utafute njia yeyote na kusema hilo ni uwongo ,sijui unaelewa siassa au unafuata mkumbo tu !
 
Kama CCM mna ota kuwa mtaitawala nchi hii milele, kwa kweli mtakuwa mnaota ndoto za mchana aka Day Dreams na nawaomba sana msijidanganye kuwa JP ameuwa au anauwa upinzani zaidi anauimarisha upinzani kwa kasi ya ajabu.

Nia, lengo na madhumuni ya kuipapatua CCM lipo palepale na ni kama linazaliwa kila kukicha ,wataoapkufa watakufa ila 2020 haipo mbali, Zanzibar tayari CCM imeshaondolewa hilo halina mjadala, kinachoendelezwa ni ule ugumu wa kutoka roho haswa roho yako inapokuwa mbaya ,lazima utaleta makeke na kurusha madaluga, ukweli CCM imepigwa na chini.

Huku Tanganyika CCM imepenya kwenye tundu la sindano na pumua pumua yake imeenda kuvamia nyumba za masikini na kuvunja na si utekelezaji bali ni hasira, nchi inakusanya kodi kwa tamaa kuwa itawaokoa na kuwaweka katika hali isiyohitaji misaada, sasa jiulize hizo njia za kodi zikifungiwa na kufungwa ?

Kama ni kuabudu basi CCM muabuduni Lubuva kwani amewapitishaa njia ya shetani na mtaendelea nayo hio hadi 2020,ushindi wa Magufuli unatiliwa shaka sijui waliojiandikisha ni wangapi kura zikijumlishwa za Lowassa na magufuli zinatokea ngapi linganisha utaona kitu kisichowezekana kimetokezwa ni Lubuva na wenzake anaowajua yeye, uzuri ni kuwa maamuzi ya tume yaheshimiwe na ndipo tulipo ,goli la mkono tumeliona, sheria imeachwa kufuata mkondo wake sasa tunampa heshima Magufuli as our president, vipi ameshinda hilo si tatizo .

Tume huru ndio itakayosema kweli ila sio hii ya Lubuva na Jecha.
Mkuu ccm kutupwa na kusahaurika kama vile Kanu na Upc nilazima
 
chagadema.


Majizi mno
we hujielewi mkuu
chadema wameiba nini
kumbuka rais wako alisema haya majizi yametufikisha hapa tangu 1961
nchi imeongozwea na nan miaka yote hiyo???[/QUOTE]
Tangu uhuru hadi sasa ccm wametufikisha mahali pabaya
 
Ndio muuaji mmoja akasema CCM iwe igombea URAISI peke yake ,yaani mligombea ili mupewe ushirikiano kwa maana hiyo tuufute upinzani.

Sijui ndio mbutwai wa siasa ,au tuseme kwenye siasa kumeingiliwa ? Wewe kama dakitari alikwambia umepona uwenda wazimu atakuwa amekuondoa njiani tu.

Katika siasa ni marufuku vyama vya upinzani kutoa ushirikiano na chama kilicho madarakani vyama vile vinavyojiunga kurejea uchaguzi wa Jecha kule Zanzibar vyama vile ni vya kinafiki, ,hilo halipo na ukiona chaama kinafanya hivyo ujue chama hicho ni cha kinafik Serikali ikisema kweli upinzani utafute njia yeyote na kusema hilo ni uwongo ,sijui unaelewa siassa au unafuata mkumbo tu !
Hahahaha! Mkuu nakumbuka Obama aliposhinda uchaguzi aliwaambia wamerekani uchaguzi umeisha washirikiane kuijenga America sasa wewe unajua kuwa mpinzani bhasi upo battlefield ni vita tuuu ..mimi binafsi sina chama lakini ninachoona ni bora kumpa ushirikiano so far ameshafanya kazi nzuri kuliko hata ile ambayo nilyempa kura nikaamini atashinda alafu akashindwa angeifanya TUKABALI TU John Pombe Magufuri ndiye atakayetuvusha wewe kwasasa panga strategy za mwaka 2025
 
Back
Top Bottom