Foundation
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 1,421
- 596
Anastahili kuyalipia maneno yake. Muda utazungumzaLema ameingia kwenye 18 za kitengo na nila shaka hawato mjibu ila watamuacha aropoke ili wamalize vizuri. Huwez kuongea maneno kama haya uachiwe lazima alipia garama