sirluta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2012
- 6,325
- 2,486
- Thread starter
- #21
Manespaa ya Moshi inaongozwa na chadema na hakuna kipindupindu pamoja na kwamba ilani inatekelezwa ya CCM. usipotoshe watu wewe, ni mwiko wacha mbunge wao pia awe wa CDM
huwezi kulinganisha moshi na mji wowote hapa tanzania hata hali ya hewa. Moshi na maeneo yote ya mkoa wa kilimanjaro watu wanakunywa maji bila kuyachemsha na hawaugui magonjwa kama typhoid ila maeneo mengine thubutu!