Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,156
Lema IQ yake ipo chini sana, elimu yake nayo mgogoro. Hana uwezo wa kujadili mambo na GT
Duh! hii yako kama ulivyoionyesha hapa nnaona inakutosha wewe tu hongera sana
Lema IQ yake ipo chini sana, elimu yake nayo mgogoro. Hana uwezo wa kujadili mambo na GT
Anaiba tu wake za watu..
Mbona kila siku ni Arusha tu na isiwe leo Dar kesho Mtwara Keshokutwa Singida Mtondogoo ni Mara lakini kila kukicha ni Arusha Arusha mpaka tunachoka!kamanda Godbless Lema ameendelea kuibomoa CCM mkoa wa Arusha leo ilikuwa zamu ya Rabia Abdallah ambae ni mjumbe wa mkutano mkuu wa mkoa UVCCM Arusha,mjumbe wa baraza la wilaya Arusha na katibu wa vijana ccm sombetini. mwingine alie timukia chadema ni Judith Mwami mjumbe wa kamati ya utekelezaji ya kata sombetini...
subiri tu mda wala usijaliMbona kila siku ni Arusha tu na isiwe leo Dar kesho Mtwara Keshokutwa Singida Mtondogoo ni Mara lakini kila kukicha ni Arusha Arusha mpaka tunachoka!
Mimi huwa nawashangaa sana ma-strategist wa CCM, hivi hawajui kitendo cha kuwatenga watu kwa makundi au sehemu kunawafanya watu hao waungane? kitendo cha kuwatenga kinawajenga ki-saikolojia kuwa sisi hatutakiwi kule we belong to this group.Rejeo kachukia nini wakati ccm wenyewe wamewakataa wenzao na kuwa-label kuwa ni watu wa chadema?
Imekuwa ni kauli ya kawaida kusikia kuwa Chadema ni chama cha kaskazini. So, Arusha kama kaskazini ni mali ya Chadema full stop.
Karibuni wana ccm tujiunge Chadema kuikomboa nchi yetu tuliyonyang'anywa na wakina Rejeo.
kamanda Godbless Lema ameendelea kuibomoa CCM mkoa wa Arusha leo ilikuwa zamu ya Rabia Abdallah ambae ni mjumbe wa mkutano mkuu wa mkoa UVCCM Arusha,mjumbe wa baraza la wilaya Arusha na katibu wa vijana ccm sombetini. mwingine alie timukia chadema ni Judith Mwami mjumbe wa kamati ya utekelezaji ya kata sombetini...
Wabunge wote wa chadema wasiojisajiri JF kwa majina yao nina mashaka nao!
why?
Mkuu William aka baharia, alipokutana na Nasary bungeni alimuhakikishia kuwa yeye ni active member JF, lakini cha ajabu
hakuna ID ya nasary tunaoijua.
Tabia hii imepelekea kuanzishwa post za kujisifia hasa za lema na nassary, Mimi natilia shaka huenda ni..........
anyway just guessing .................
Wabunge wote wa chadema wasiojisajiri JF kwa majina yao nina mashaka nao!
why?
Mkuu William aka baharia, alipokutana na Nasary bungeni alimuhakikishia kuwa yeye ni active member JF, lakini cha ajabu
hakuna ID ya nasary tunaoijua.
Tabia hii imepelekea kuanzishwa post za kujisifia hasa za lema na nassary, Mimi natilia shaka huenda ni..........
anyway just guessing .................
Kujisajiri ndio nini???Si wote wamejisajiri, nafikiri kujiunga JF ni uamzi binafsi. huwezi kumlazimisha mtu yeyote
Hilo unalifahamu wewe!Anaiba tu wake za watu?,umeshaandikiwa dhambi na Mungu kwa kumshuhudia mwenzio uongo
Mbona mnazunguka mle mle? Hii ni sawa na kumseduce mke wako!JIBU: Kanda ya Ziwa na Arusha na Kimbunga cha Lema.
Mbona mnazunguka mle mle? Hii ni sawa na kumseduce mke wako!
Fungukeni kwingine muone!
Chopa itoke wapi? Mzee Ndesamburo hawezi kumpa kila mtu chopa. Anaangalia pia na uwezo wa mtu.Kila siku wapo uwanja wa Nyumbani tu...si wamempa Chopa.
Mbona mnazunguka mle mle? Hii ni sawa na kumseduce mke wako!
Fungukeni kwingine muone!