Lema azidi kuibomoa CCM Arusha

kamanda Godbless Lema ameendelea kuibomoa CCM mkoa wa Arusha leo ilikuwa zamu ya Rabia Abdallah ambae ni mjumbe wa mkutano mkuu wa mkoa UVCCM Arusha,mjumbe wa baraza la wilaya Arusha na katibu wa vijana ccm sombetini. mwingine alie timukia chadema ni Judith Mwami mjumbe wa kamati ya utekelezaji ya kata sombetini...
Mbona kila siku ni Arusha tu na isiwe leo Dar kesho Mtwara Keshokutwa Singida Mtondogoo ni Mara lakini kila kukicha ni Arusha Arusha mpaka tunachoka!
 
Rejeo kachukia nini wakati ccm wenyewe wamewakataa wenzao na kuwa-label kuwa ni watu wa chadema?
Imekuwa ni kauli ya kawaida kusikia kuwa
Chadema ni chama cha kaskazini. So, Arusha kama kaskazini ni mali ya Chadema full stop.
Karibuni wana ccm tujiunge Chadema kuikomboa nchi yetu tuliyonyang'anywa na wakina Rejeo.
Mimi huwa nawashangaa sana ma-strategist wa CCM, hivi hawajui kitendo cha kuwatenga watu kwa makundi au sehemu kunawafanya watu hao waungane? kitendo cha kuwatenga kinawajenga ki-saikolojia kuwa sisi hatutakiwi kule we belong to this group.

Kitendo cha makada wa CCM kuhubiri na kuwatenga watu wa kaskazini kuwa ni CDM kimewaunganisha watu wa kanda ile. Hisia ya kutengwa ilikuwa inajengeka pole pole sasa wameamua kuionyesha wazi kuwa kama wametutenga basi na sisi tunaungana. Hawakuwa na choice zaidi ya kukimbilia CDM ili kupata sympathy baada ya kukataliwa na CCM. Kwa vile hii ni kama imani iliyojengwa akilini, itachukua muda mrefu kuibadili.
 
Tatizo mimi naweza kujiita NYERERE Wakati siyo. Kwahiyo haitosaidia mbunge yeyote kuandika jina la kweli JF.
 
kamanda Godbless Lema ameendelea kuibomoa CCM mkoa wa Arusha leo ilikuwa zamu ya Rabia Abdallah ambae ni mjumbe wa mkutano mkuu wa mkoa UVCCM Arusha,mjumbe wa baraza la wilaya Arusha na katibu wa vijana ccm sombetini. mwingine alie timukia chadema ni Judith Mwami mjumbe wa kamati ya utekelezaji ya kata sombetini...

Juzi si ulisema Lema kuibomoa Dar es Salaam leo tena kuipomoa Arusha kila siku Arusha tu hakuna sehemu zingine?
 
Wabunge wote wa chadema wasiojisajiri JF kwa majina yao nina mashaka nao!

why?


Mkuu William aka baharia, alipokutana na Nasary bungeni alimuhakikishia kuwa yeye ni active member JF, lakini cha ajabu

hakuna ID ya nasary tunaoijua.

Tabia hii imepelekea kuanzishwa post za kujisifia hasa za lema na nassary, Mimi natilia shaka huenda ni..........

anyway just guessing .................

Mkuu uko serious au unachangamsha genge? Mbona dogo nasary ameshajimwaga sana humu jamvini. Hebu mtafute utamuona aisee!
 
Wabunge wote wa chadema wasiojisajiri JF kwa majina yao nina mashaka nao!

why?


Mkuu William aka baharia, alipokutana na Nasary bungeni alimuhakikishia kuwa yeye ni active member JF, lakini cha ajabu

hakuna ID ya nasary tunaoijua.

Tabia hii imepelekea kuanzishwa post za kujisifia hasa za lema na nassary, Mimi natilia shaka huenda ni..........

anyway just guessing .................

Acha kulalamika. Crashwise ndiyo Mbunge mojawapo wa CDM kama shida yako ni kutaka kujua. Preta ni Mbunge wa Viti Maalum, Pakajimi ni Mbunge wa CCM, Exellent ni Mbunge ! Upo hapo?
 
Lema nenda Bukoba, Mtwara, Lindi, Kigoma, wewe kila siku Arusha tu.
 
Mbona mnazunguka mle mle? Hii ni sawa na kumseduce mke wako!
Fungukeni kwingine muone!

Kwa hiyo mnatutishia au?Hata mgonjwa huwa anaitetea sana nafsi yake hata Kama dokta kamwambia kuwa atakufa leo,ccm inakata roho lakini lazima ife na watu wanaoitetea kama wewe.
 
Back
Top Bottom