Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Mkuu lazima ukubaliane na mimi kwa hili!
Nina wasiwasi kuna kamchezo kanachezwa na nyie mnaakia kushabikia, haiwezekani hatujasikia hata siku moja kuna sera
Hawa watu wanatekeleza kwa vyama vyao, kila siku ni post za kujisifia. Na kwa kuwa wana fake ID nina mashaka sana..
Pia Rejao yupo right ndugu yangu, mtu aliye na uongozi kama mbunge kwa nini ufiche ID yako?? ni uoga tu na uwezo mdogo wa
kujibu hoja!
Kuwa na ID fake au halisi haisaidii,cha msingi ni hoja,hiyo ni uamuzi wa mtu,mbona Nape aliwahi kukana ID yake humu jamvini.