Mkuu leo wapi sasa hatimae kimeeleweka...
vipi wazee wa vitu vyenye ncha kali nao wamefika?
Wana jamii! Habari za kusikitisha nilizozipata mdahuu nikwamba. Waziri mkuu anamuandikia barua Amiri jeshi mkuu. Kutokana na udhalilishaji aliofanyiwa na majaji kumrudisha lema bungeni.
Mingoi yuko njema Mingoi yuko imara mikandamizo inaendelea,naona leo mmepata kwa kupumulia teh! teh !tehh!!! lakini kifo cha CDM kiko pale pale mgonjwa wa ICU kuomba chakula sio kwamba atapona.