Lokissa
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 7,446
- 2,490
wewe huna unachokizungumza yaani ungejua nchi za mangaribi zilivyo kerwa na tukio la Lema wala usingejirisha na vijicent unavyopewa kwa kuwalaghai watz time will tell Mungu hayuko mbali ngoja tuone. Kwani Ghadafi na wanae wako wapi?
Lema taingia mahakama huru ifanya kazi yake kwa umakini wa hali ya kukuvua ubunge kila siku unakuja na stori za vijiweni.