Kama una ushahidi peleka mahakamani.
Lini ulimkuta mwenye fedha tz mahabusu?unaota kabla ya kulala.
Kama una ushahidi peleka mahakamani.
Dogo siyo fisadi bali "DHAIFU" ndiye mwenye ufisadi huu kwa kutumia kivuli cha riz1.Huyu dogo ni bonge la fisadi.
Uongo mtupu.
Uongo mtupu.
Mahakama zenye Majaji walioteuliwa na Baba yake!! My foot!Utamfanya nini wewe? Utabaki kulalama kama kina Lema tu, kama ushahidi upo basi kwanini msiende mahakamani?
Utamfanya nini wewe? Utabaki kulalama kama kina Lema tu, kama ushahidi upo basi kwanini msiende mahakamani?
Mtabaki hivyo hivyo tu. wewe umeshaambia CCM itatawala milele, sasa bado hujui tu maana ya MILELE? Nyie endeleeni kuchagamsha genge humu JF.
Lini ulimkuta mwenye fedha tz mahabusu?unaota kabla ya kulala.
Akili yako inafikiri Mahakamani ni jengo. Hata hapa ni mahakamani na hakuna mahakama yenye nguvu kama ile ya wananchi.Kama una ushahidi peleka mahakamani.
Huyu Lema Amekosa mwelekeo .