Lema amvaa Ridhiwani Kikwete, Ni kuhusu umiliki kampuni ya Tanzanite One

Status
Not open for further replies.
lema kama amechanganyikiwa vile baada ya kuvuliwa ubunge,tena bila zile operation maalumu ili apate posho ajikimu na chakula sijui angekuwaje asahivi
 
Si majulikana kwa kuzuwa, wekeni ushahidi, wacheni uongo, juzi ilikuwa Simbachawene leo Rizwan. Kesho nani?

Halafu watanzania wawape nchi muongoze kwa uongo?
 
Mtabaki hivyo hivyo tu. wewe umeshaambia CCM itatawala milele, sasa bado hujui tu maana ya MILELE? Nyie endeleeni kuchagamsha genge humu JF.

Poor u!hujui nchi iko kwny hali gani kwa ss..endelea kujidanganya
 
Kuna mahakama nyingi lakini juu ya mahakama ya rufaa kuna mahakama ya wananchi, hii ndio mahakama iliyo juu ya zote, tutaonana 2015.
 
Lema taingia mahakama huru ifanya kazi yake kwa umakini wa hali ya kukuvua ubunge kila siku unakuja na stori za vijiweni.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom