Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,553
- 93,202
Jack Nzoka alivyoitisha mkutano na waandishi wa habari alikuwa anatumia sheria gani?Ukisoma hii attached file, hapa ni moja kwa moja Lema kavunja sheria kumtaja agent kwa jina lake na anastahiri kufikwa kwenye vyombo vya sheria. Maana imeandikwa mtu kutoka idara hii anayeweza kutajwa waziwazi ni DG tu. Sasa Lema kama mbunge na mtunga sheria hakulijua hili?