Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 31,607
- 65,590
Mkuu umenichekesha sana.Hii ni baada ya kudhihirisha wazi kwamba ni timu ya msimu mmoja , baada ya leo kutandikwa na timu KIBONDE ya Man U kwa kapu la magori 4 - 1
Mwenendo wa mabingwa hawa watetezi ambao wamegeuka kuwa wasindikizaji unasononesha wengi , mpaka sasa haifahamiki wanatumia fomesheni gani , hawaeleweki kabisa , style yao ni moja tu ya KOMA KUMWANYA , hii ni style ya kinyakyusa ikimaanisha piga mpira juu ili uende mbele , Tukuyu stars waliitumia sana miaka ya nyuma lakini walipostukiwa wakashuka daraja.
Hivi mchezaji muhimu wa timu hii alikuwa N'GOLO KANTE pekee ?