Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,600
- 218,004
Hii ni baada ya kudhihirisha wazi kwamba ni timu ya msimu mmoja , baada ya leo kutandikwa na timu KIBONDE ya Man U kwa kapu la magori 4 - 1
Mwenendo wa mabingwa hawa watetezi ambao wamegeuka kuwa wasindikizaji unasononesha wengi , mpaka sasa haifahamiki wanatumia fomesheni gani , hawaeleweki kabisa , style yao ni moja tu ya KOMA KUMWANYA , hii ni style ya kinyakyusa ikimaanisha piga mpira juu ili uende mbele , Tukuyu stars waliitumia sana miaka ya nyuma lakini walipostukiwa wakashuka daraja.
Hivi mchezaji muhimu wa timu hii alikuwa N'GOLO KANTE pekee ?
Mwenendo wa mabingwa hawa watetezi ambao wamegeuka kuwa wasindikizaji unasononesha wengi , mpaka sasa haifahamiki wanatumia fomesheni gani , hawaeleweki kabisa , style yao ni moja tu ya KOMA KUMWANYA , hii ni style ya kinyakyusa ikimaanisha piga mpira juu ili uende mbele , Tukuyu stars waliitumia sana miaka ya nyuma lakini walipostukiwa wakashuka daraja.
Hivi mchezaji muhimu wa timu hii alikuwa N'GOLO KANTE pekee ?