Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Jamani mwenye sheria hizi atuwekee hapa tafadhali
Jamani mwenye sheria hizi atuwekee hapa tafadhali
Mkuu unataka Financial Leasing Act 2008 au The Morgage Finance Act 2008 au
Finance Act 2008 pamoja na Financial Laws Misc amendments 2008? Hizo mbili za kwanza sijaziona ila kama unataka mbili za mwisho kamata copy! Naona imechukua muda mrefu sana kuapload but here were go!
shukuraniiii mkuuu..Naamini amekusudia kusema 'Financial Leasing Act 2008'. Hii nimeipata kule kwenye website ya bunge.