Lease and Finance Act 2008

Jamani mwenye sheria hizi atuwekee hapa tafadhali

Mkuu unataka Financial Leasing Act 2008 au The Morgage Finance Act 2008 au
Finance Act 2008 pamoja na Financial Laws Misc amendments 2008? Hizo mbili za kwanza sijaziona ila kama unataka mbili za mwisho kamata copy! Naona imechukua muda mrefu sana kuapload but here were go!
 

Attachments

  • Finance Act 2008.pdf
    940.5 KB · Views: 137
  • Financial Laws Msc amendments 2008.pdf
    274.3 KB · Views: 252
Mkuu unataka Financial Leasing Act 2008 au The Morgage Finance Act 2008 au
Finance Act 2008 pamoja na Financial Laws Misc amendments 2008? Hizo mbili za kwanza sijaziona ila kama unataka mbili za mwisho kamata copy! Naona imechukua muda mrefu sana kuapload but here were go!

Naamini amekusudia kusema 'Financial Leasing Act 2008'. Hii nimeipata kule kwenye website ya bunge.
 

Attachments

  • FLA 2008.pdf
    196.1 KB · Views: 110
Naamini amekusudia kusema 'Financial Leasing Act 2008'. Hii nimeipata kule kwenye website ya bunge.
shukuraniiii mkuuu..

tatizo ni utekelezaji wa hizi sheriaa....hivi umbumbu wetu wananchi ndo kikwazo au????

naomba kueleweshwaa.
 
Nashukuru wakuu mmefanya kazi nzuri. Ngoja nipate muda nisome hivi vitu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom