Kutokana na tabia za uongo za viongozi hawa wawili huku wakipigiwa hapuo na Waziri Mkuu aliyekuwa mtoto wa Mkulima Pinda na Raisi wa nchi Mh. Dr.Jakaya Mrisho Kikwete anayejulikana kwa uzururaji dunia nzima huku akiacha nchi yake ikiwa gizani totoro, na wengine wakifa kwa kukosa chakula kutokana na ukame wengine wakiuuawa na mapolisi na uchumi ukiwa ukiporomoka kwa kasi huku wananchi wakizidi kupata msongo wa mawazo na kupoteza maisha natoa wito kwa wana Dar wote tukiacha itikadi nyuma jumatatu kuanzia saa kumi na mbili na nusu tukutane makao makuu ya tanesco huku kundi lingine wakikutana wizara ya nishati na madini kukaa hapo mpaka hawa viongozi wanq'oke madarakani kama njia ya kukomesha dharau ,unyanyasaji,uporaji wa haki za watnzania,ufujaji wa heshima ya nchi na udumishwaji wa ustawi wa uchumi na jamii kiujumla.
Wanaharakati nyie ambao ni wanafiki mumekaa kimya wakati nchi inateketea kutokana na uzembe wa hawa wazandiki muko wapi LHRC,TAMWA,TGNP, KIWOHEDE tunawasikia mnachonga sana tuu pale munapoona kuna maslahi kutoka kwa wafadhili wenu hebu tuwone sasa
Tume ya haki za binadamu pamoja na kuongozwa na Jaji aliyetukuka kwa kufuata misingi ya haki za binadamu mbona sasa muko kimya au haki za binadamu kwenu ni pale uchaguzi unapokwenda mrama
Chama cha wenye viwanda mumekaa kimya kwa sababu munapewa misamaha ya kodi bila kuzingatia sheria hamuoni uongo wa Ngereja na mhando kuhusu umeme ni janga la kitaifa
Na nyie vyama vya siasa wanafiki sana hali sasa ni mbaya kuliko mulivyokuwa munaandamana januari munangoja nini huku wananchi wakiteseka
nanyi wana habari kazi yenu vibahasha tuu embu oneni nchi inavyoteketea kwa uzembe wa watu hao wanne hapo juu
kila mwana dar usijiulize nyenyuka kama una sufuria,mwiko,karatasi bango tukutane hapo kila mtu aje mmoja mmoja na jiandae hatutaondoka tukifika hapo mpaka hao wang'oke uwizi mtupu
Wanaharakati nyie ambao ni wanafiki mumekaa kimya wakati nchi inateketea kutokana na uzembe wa hawa wazandiki muko wapi LHRC,TAMWA,TGNP, KIWOHEDE tunawasikia mnachonga sana tuu pale munapoona kuna maslahi kutoka kwa wafadhili wenu hebu tuwone sasa
Tume ya haki za binadamu pamoja na kuongozwa na Jaji aliyetukuka kwa kufuata misingi ya haki za binadamu mbona sasa muko kimya au haki za binadamu kwenu ni pale uchaguzi unapokwenda mrama
Chama cha wenye viwanda mumekaa kimya kwa sababu munapewa misamaha ya kodi bila kuzingatia sheria hamuoni uongo wa Ngereja na mhando kuhusu umeme ni janga la kitaifa
Na nyie vyama vya siasa wanafiki sana hali sasa ni mbaya kuliko mulivyokuwa munaandamana januari munangoja nini huku wananchi wakiteseka
nanyi wana habari kazi yenu vibahasha tuu embu oneni nchi inavyoteketea kwa uzembe wa watu hao wanne hapo juu
kila mwana dar usijiulize nyenyuka kama una sufuria,mwiko,karatasi bango tukutane hapo kila mtu aje mmoja mmoja na jiandae hatutaondoka tukifika hapo mpaka hao wang'oke uwizi mtupu