Lazima William Mhando,Ngereja wonq'oke

Kwenye Majimbo Yote yanayoongozwa na Chadema hali ni mbaya. Ubungo, Kawe, Mwanza. Musoma , Mbeya, Moshi, Arusha...
Ngerejea aliwahi kunukuliwa kuwa Mgao wa umeme basi., this time yuko Busy na Posho bungeni. Wabunge wa Chadema nao kimyaa wanakimbizana nyama choma chako ni chako dodoma. Tusiandamane ila tujiandae kufanya mabadiriko makubwa 2015..
aiseeeeeeeeee
 
Nakubali. Combination hii haiwezi kuleta suluhu ya tatizo la umeme kamwe. Mhando yuko bize na rushwa na ukabila kazini na huyu boss wake ni rushwa na mademu. Huoni kama kuna dalili za ubunifu. Hakika nchi hii Rais wanamtesa sana watendaji hawa! Mungu ampe nguvu na hasira Rais ili awamwage fisi jawa.
Hi ni combination ya mabogus si umesikia kila mtu anasema vyake ukweli wenyewe hakuna suluhu ya tatizo la umeme ukiwa na wasanii wa aina hii,mwananch amka hawa lazima wanq'oke hawana fikra wala uzalendo
 
Wanajidai hawataki kuondoka kwa wiki mbili sasa maeneo ya Goig Mbezi beach hatujasikiliza taarifa ya aina yeyote jioni wanakata asubuhi wanakata haya mabogus bado yanaendelea kunawili tuu matumbo juu its frustrating kuwa na matapeli ya aina hii yakituongoza nchi imewashinda si mungeachia tuu au majenereta ni mradi wenu
 
Nipo Arusha. Hapa wanakata 12 jioni na kurudisha kesho yake saa 1 jioni. Ikifika saa 6 usiku wanakata tena mnalala tena gizani! Sijui nchi hii inaelekea wapi?
 
Tanesco mtakuwa mnawaonea tu, kwanza tuanze sisi wenyewe wangapi humu JF wamechakachua mita zao, then watu wa wizarani kwani nchi yetu siasa zimezidi mmo kiasi kwamba utendaji unakuwa mdogo na lazima ufuate matakwa ya wanasiasa wanasemaje. Cheki mitambo ya kidatu ilijengwa mwishoni mwa miaka ya sabini mpaka sasa hakuna improvement yoyote iliyofanywa. Mimi nafikiri kunasource nyingi sana za kuzalisha umeme, kwa mfano wananchi ambao wanakaa kwenye fukwe za bahari na sehemu zenye upepo mkali kama (singida, same, dodoma nk )wangeunda vikundi wakachangishana fedha then wakanunua wind mill ikawa inawazalishia umeme kwa maeneo yao, wale ambao tunakaa sehemu yenye jua kali basi tuchangishane tununue solar panel nafikili tutakuwa tumeweza. Sioni sababu ya kuanza kupiga kelele kuhusu tanesco wakati sisi wenyewe hatutoi suluhisho kuhusu hawa jamaa wa tanesco. tuamue sisi wenyewe au kama vipi mtaa fulani mnaamua kununua Caterpillar Genset mnakuwa mnachangia mafuta mnaliwasha nait mnacheki taarifa ya habari kisela na siku za mechi hapo hao jamaa mtaona wanavyokufa kibudu.
 
306681_10151063016359743_1581996414_n.jpg
 
Back
Top Bottom