king zamunda
New Member
- May 10, 2012
- 3
- 0
Tatizo watanzania tumekuwa tukiona mabaya tu ya ccm ila mazuri yake hatuyaoni, tusitupie lawama tu kwa serikali sometime inabidi na sisi tujitume. Hakuna nchi yoyote duniani inayoendelea bila wananchi kujituma, vijana walio wengi wanapenda kushinda magengeni kupiga story wakisahau kuwa nguvu kazi yao inahitajika katika kuendeleza nchi. Hivyo basi tuache lawama zaidi na tuzidishe jitihata zetu binafsi...... huo ni wangu mtazamo tu.