Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,497
- 8,030
Mimi nashauri mradi wa mabasi ya kibluu ufe kwani wameshashindwa, daladala zitumie barabara ya mwendokasi. Kwakuwa hayatakuwa yanakaa foleni, yatabeba watu wengi kwa wakati mfupi, kuliko kwenda kituoni na kusubiri mwendokasi lisaa lizima.
Kimara wameshindwa, sasa watawezaje kuendesha njia mpya za Mbagala na Gongo la Mboto? Pia wakienda huko wasiue ruti ambazo mwendokasi haifiki.
AU
Liwe soko huru kwa wote, waache daladala na watu wachague daladala au mwendokasi.
Pia soma > Napinga Daladala kuingizwa kwenye BRT
========
Ni kupunguza tatizo la usafiri kwa abiria wanautumia usafiri wa umma Barabara ya Morogoro.
Hivyo ndivyo unavyoweza kusema, baada ya Mamlaka ya Usafiri Ardhini (Latra), kukubali kusajili kwa muda daladala 15 kusafirisha abiria katika barabara hiyo ya Morogoro.
Daladala hizo ambazo zinatakiwa ziwe na uwezo wa kubeba abiria kuanzia 25, zitakuwa zikifanya safari zake Mbezi Luis kwenda Makumbusho kupitia Barabara ya Morogoro.
Ikumbukwe tangu mradi wa mabasi Yaendayo Haraka ‘mwendokasi’ uanze rasmi mwaka 2016, daladala ambazo zilikuwa zikifanya safari zake hadi Mbezi zilisitishwa.
Mwananchi
Kimara wameshindwa, sasa watawezaje kuendesha njia mpya za Mbagala na Gongo la Mboto? Pia wakienda huko wasiue ruti ambazo mwendokasi haifiki.
AU
Liwe soko huru kwa wote, waache daladala na watu wachague daladala au mwendokasi.
Pia soma > Napinga Daladala kuingizwa kwenye BRT
========
Ni kupunguza tatizo la usafiri kwa abiria wanautumia usafiri wa umma Barabara ya Morogoro.
Hivyo ndivyo unavyoweza kusema, baada ya Mamlaka ya Usafiri Ardhini (Latra), kukubali kusajili kwa muda daladala 15 kusafirisha abiria katika barabara hiyo ya Morogoro.
Daladala hizo ambazo zinatakiwa ziwe na uwezo wa kubeba abiria kuanzia 25, zitakuwa zikifanya safari zake Mbezi Luis kwenda Makumbusho kupitia Barabara ya Morogoro.
Ikumbukwe tangu mradi wa mabasi Yaendayo Haraka ‘mwendokasi’ uanze rasmi mwaka 2016, daladala ambazo zilikuwa zikifanya safari zake hadi Mbezi zilisitishwa.
Mwananchi