LATRA yadai kushirikisha Wananchi kabla ya kupandisha nauli

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
118,344
219,709
Mkurugenzi wa LATRA amesema kwamba kabla ya kupandisha nauli za mabasi walipokea maoni ya wananchi kwanza na kuyafanyia kazi.

Amesema kwamba siku ya kikao hicho Walikuwa Mubashara dunia nzima, na kwamba kila mtu aliona na wengine walishiriki na kutoa maoni yao.

===

“Nauli haitolewi kwa kuangalia mafuta tu, kuna vitu vingi na tuliwashirikisha [wananchi]. Tunapoletewa maombi tunaitisha kikao cha wadau [...] Siku tunafanya kikao hiki tulikuwa live [mubashara] dunia nzima na watu wanatoa mapendekezo yao halafu tunapokea maoni ya wananchi.” – Habibu Suluo, Mkurugenzi Mkuu LATRA

Screenshot_2023-12-04-10-20-06-1.png
 
Mkurugenzi wa LATRA amesema kwamba kabla ya kupandisha nauli za mabasi walipokea maoni ya wananchi kwanza na kuyafanyia kazi.

Amesema kwamba siku ya kikao hicho Walikuwa Mubashara dunia nzima, na kwamba kila mtu aliona na wengine walishiriki na kutoa maoni yao.

===

“Nauli haitolewi kwa kuangalia mafuta tu, kuna vitu vingi na tuliwashirikisha [wananchi]. Tunapoletewa maombi tunaitisha kikao cha wadau [...] Siku tunafanya kikao hiki tulikuwa live [mubashara] dunia nzima na watu wanatoa mapendekezo yao halafu tunapokea maoni ya wananchi.” – Habibu Suluo, Mkurugenzi Mkuu LATRA
Latra ni mradi wa upigaji tu na kukamua wananchi! Kwa maoni yangu
 
Wananchi ni wote wa hii nchi.

Hata hao wamiliki wa mabasi ni wananchi wenye biashara zao hizo..... pesa imeshuka thamani na unataka bei ya huduma (usafiri) ibakie na bei ileile.

Huo ungekuwa ni uonevu. Wananchi wote acha tu wasikilizwe tusibague.
 
Mkurugenzi wa LATRA amesema kwamba kabla ya kupandisha nauli za mabasi walipokea maoni ya wananchi kwanza na kuyafanyia kazi.

Amesema kwamba siku ya kikao hicho Walikuwa Mubashara dunia nzima, na kwamba kila mtu aliona na wengine walishiriki na kutoa maoni yao.

===

“Nauli haitolewi kwa kuangalia mafuta tu, kuna vitu vingi na tuliwashirikisha [wananchi]. Tunapoletewa maombi tunaitisha kikao cha wadau [...] Siku tunafanya kikao hiki tulikuwa live [mubashara] dunia nzima na watu wanatoa mapendekezo yao halafu tunapokea maoni ya wananchi.” – Habibu Suluo, Mkurugenzi Mkuu LATRA

1.Mikutano na vikao vya ushirikishwaji viilikaa wapi na lini??
2.Ni wananchi gani waliohudhuria mikutano hiyo ya ushirikishwaji?Walikuwa wananchi wangapi??Je, alichukua Mahudhurio yao??
3.Je, Wananchi wangapi anaodai aliwashirikisha walipata nafasi ya kutoa Maoni yao kwenye huo ushirikishaji wake??
4.Je, mihtasari ya vikao au mikutano ya ushirikishaji anayo?Kama mihtasari anayo basi aweze wazi kwa umma ili tuthibitishe hoja yake hii endapo kama kweli wananchi walishirikishwa. Asitufanye sisi Wananchi kuwa ni "Mazumbukuku."
 
Back
Top Bottom