Laptop ipi ni nzuri kwa ajili ya matumizi ya chuo?

Habari,

Kuna dogo wangu anazama chuo soon tu.

Sasa anahitaji laptop kwa ajili ya kusomea na kufanyia kazi zake, ikiwemo ku design vitu kama picha, pia anapenda editing video na mambo mengi ya namna.

Sasa nataka nimnunulie laptop itayoweza tumika kwa mambo hayo, bila kumpa shida.

Qn, laptop yenye specification zipi ni nzuri kwa hizo task? Ni wapi naweza pata ikiwa mpya na gharama zake? Naomba ushauri wa kitaalamu tafadhari Mwl.Ict n wengine
 
Ninavyojua laptop yoyote inaweza kufanya hayo uliyotaja. Mtumiaji ndiye anaeamua kuweka software gani ili kufanya kazi anazotaka.
 
Habari,
kuna dogo wangu anazama chuo soon tu.
sasa anahitaji laptop kwa ajili ya kusomea na kufanyia kazi zake, ikiwemo ku design vitu kama picha, pia anapenda editing video na mambo mengi ya namna.

Sasa nataka nimnunulie laptop itayoweza tumika kwa mambo hayo, bila kumpa shida.

Qn, laptop yenye specification zipi ni nzuri kwa hizo task? N wapi naweza pata ikiwa mpya na gharama zake? Naomba ushauri wa kitaalamu tafadhari Mwl.Ict n wengine
Habari yako ndugu yuppie1990 , Pitia hizi thread kuna mapendekezo
KARIBU
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Wadau mi nna shida kama hiyo..specs zangu ni ram ianzie 4gb, hdd 500gb,window 8.1 au 8 ,screen isizd inchi 14,battery ihimili kuanzia 3hr..prefarably dell..bajeti ninayo 1M
 
Wadau mi nna shida kama hiyo..specs zangu ni ram ianzie 500gb,window 8.1 au 8 ,screen isizd inchi 14,battery ihimili kuanzia 3hr..prefarably dell..bajeti ninayo 1M

kaka gb kuwa nyingi sio ishu mtu anaweza kukupa laptop ya 1tb lakini ikawa ni 5400rpm

kwa budget yako hio inabidi iwe ni hdd ya 7200rpm au sshd au ssd. ila kwakuwa wabongo tunapenda quantity sana unapata laptop yenye hdd 1024gb ya 7200rpm

kama unataka zinazokaa na charge sana inabidi cpu nayo iwe weak yaani power ndogo battery ikae na chaji. siku hizi kuna hizi cpu za baytrail laptop zinakaa na chaji hadi masaa 15. power ya hii cpu ni equivalent na baadhi ya i3 sema gpu yake ni ndogo.

jaribu kuzunguka madukani tafuta laptop za budget yako za kutosha lete hapa utaambiwa ipi nzuri
 
Hallo wanajamvi..... hata mm nahitaji laptop nzuri ya kutumia chuoni.... mm nasomea bachelor with education.. je laptop ipi itanifaa... pia napenda sana kuchek movie na playing games.... so nishaurini laptop nzury........

Kwa program yako tafuta brand nzuri yenye specifications kama hizi
Ram kuanzia 2GB
HDD Kuanzia 320GB
Processor kuanzia 1.8GHz
Nakushauri tafuta Samsung maana zina warranty ya miaka miwili kama uko Dar fika hapo kariakoo round about kuna maduka kibao kama crystal computers, Sai impex, uhuru computers e.t.c
 
wakuu mimi ninataka laptop matumizi ni kama video editing , graphics , gaming na movies . Je ipi nichukuwe? Ambayo nitakaa nayo kwa muda mrefu. Bajet ni laki saba mpaka nane
 
Inategemea unasoma nini na unapenda laptop zenye kukidhi mahitaji gani..

kuna laptop za kiofisi (almost aina zote)
Kuna multimedia laptop na design nzuri kwa muonekano (MacBook, Lenovo,Asus na Sony Viao)
Kuna laptop za easy to carry..mfano ni ultra book laptops (unene si zaidi ya 2.5 cm) toka Asus,Hp,Dell na Mac book air.
Kuna laptops za performance kama i7 laptops (almost brand zote)
Kuna high performance laptops (kama unasoma Architecture or engineering) ..hizi ni laptop zenye inter grated graphic cards (Intel na NVIDIA au AMD) mara nyingi ni i7 na bei yake ni juu.
Kaka umeishia laki 7 endelea kama nauwezo wa 8 mpaka 1m
 
Back
Top Bottom