Tabu kweli kweli, Landcruiser itakufaa zaidi...........imezoeleka Tz.Spec gani unaongea tena mjomba. Mi nataka kujua ipi inafaa kwa masafa, na haisumbuisumbui.
Aaaah aaah kuwa tajiri sio dhambi...........sio wote tuliopo JF tupo sawa kimaisha.Tokeni hapa kama levo zako ni hizo si hata marafiki zako madon pia au wafanyakazi/biashara wenzako si waombe ushauri we kuwa ndotoni mchana.
Ipi safi hapo, anayezielewa vizuri. Nataka kununua.
Promo tu.Aaaah aaah kuwa tajiri sio dhambi...........sio wote tuliopo JF tupo sawa kimaisha.