Tanzania ni nchi ya ajabu sana. Yaani mfanyakazi wa wilaya ndogo kuna sababu gani ya kupewa V8 ya kutumia wilayani? Wilaya yenye lami kweli inahitaji gari kubwa la juu tena V8 engine? Wilaya hiyo hiyo haina ambulance za kutosha?! Wakati wangeweza kununua gari la kawaida na ambulance hata mbili!