Power G
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 3,886
- 1,194
Mkuu huyu mgombea inawezekana ana damu ya Tyson yule wa chama cha magamba ambaye unatumia picha yake kwenye avatar yako.Kipindi hiki cha lala salama huyu mgombea hakutakiwa kuonyesha upande wake mwingine. Huyu akiingia bungeni ataweza kung'uta hata microphone as long as iko mbele yake kwa hasira tu.