anza kwa gia ya kuwa mtani mtani kisha mgeuze rafiki wa kawaida hapo ndipo utapomsoma kuwa ni liberal au mhafidhina, then from there najua utasonga tuu tena kwa urahisi as far as ulishamjua.Very good Marytina,
Exactly kwamba wanachelewa kupata wenza...mi ninawezaje basi kumjua kwamba huyu ni mhafidhina au liberal kwa mara ya kwanza tu? Na ukumbuke huenda nia yangu ni long term tufunge ndoa tupate watoto sasa akizungusha zungusha ndo bahati inapotea ivo!