GY
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,279
- 126
hahaa not exactly...hata kwenye kazi ujue ukiona kama shortlisting tu inachukua mwaka, si unatafuta kazi nyengine la sivyo, utakufa kwa njaa...worst still, ujuzi wako ambao ungewafaidi hao jamaa unakuwa 'umepotea'....in short wanakuwa wamekukosa
Ndo maana kwa mashirika serious, ukiapply kazi within two weeks kimeeleweka interview, two weeks nyengine uko kazini
wengine wiki moja mchakato umeisha hasa kama una 'rare profession'
habari yake GY bana...TGIF
tatizo mashirika mengine yanapendwa na watu, soo maombi yanakuwa mengi sana....sasa hebu fikiria mfano TRA wanatangaza nafasi moja tuu, halafu maombi yanakuja elfu moja na wote mna sifa, si inabidi mchakato uwe mrefu....halafu kumbuka wakati wewe ukiwa unasubiri, kawaida hua wanakuwa wanapitia maombi ya wengine pia, ni ngumu kwakweli kupata mfanyakazi bora kuliko kutafuta kazi