Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
ameisha jifungua nini ?
Apone mapema bidada. Kweli siasa si mali kitu, wanasiasa wanakwenda kutibiwa india...mjasiriamali Europe!!
Kwani hicho kitumbo ndo kimesababisha alazwe huko?kitumbo tu unaenda nje
je magonjwa sugu utatibiwa wapi bi dada.
that was not necessary... sijui unajisikiaje ukiisoma hii post, unajua matatizo yake?kitumbo tu unaenda nje
je magonjwa sugu utatibiwa wapi bi dada.
Kwahiyo?
kitumbo tu unaenda nje
je magonjwa sugu utatibiwa wapi bi dada.
get well soon!!
aende India huyu................ye haoni kwamba wenzake wanaenda india?
ameisha jifungua nini ?